cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na ubarikiwe pia. [emoji120][emoji120]Shukrani fantastic [emoji1431]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ubarikiwe pia. [emoji120][emoji120]Shukrani fantastic [emoji1431]
Hilo ndio suluhisho au ndo utatuzi wa changamotoo hii? Kazi ipoo kwa kweli.Simple tu nenda nae geto kwako tafuta mwanamke kwa gharama zozote akae nae wiki moja hakikisha anamkaza huyo mdada kutwa mara tatu kama dozi ya malaria.
Asipo mkaza huyo mdada mtie vitasa kwelikweli.
Kwann hukwenda kumkanyaa huyo kinyozii? Afu baadae lawama na kejeli anapata huyo dogo, akati kinyozi ana tamba zake mtaan, hana wasi wasi. Lol.Kuna man miaka tunasoma msingi naye alikua completely girlish na muda wote na wasichana na kucheza nao. Sikuamini siku nimekuja kuonana naye ukubwani si yule kabisa, tena alikua ana huzuni ndoto yake ya kuingia jeshini haikufanikiwa.
Tatizo la wazazi na walezi wa siku hizi wanahisi jinsi wanavyowakuza watoto wao ndio kuwapenda.
Mtoto wa kiume analelewa kimayai kibwege, akienda boarding lazima wampelekee moto wenzake au kimtaamtaa. Wazazi kwa kiasi kikubwa ndio source watoto kuwa chakula ya wahuni.
Niliwahi kumuona jamaa kinyozi anamtongoza dogo. Dogo wa kiume ila amekaa kike sana. Na dogo niliona analegeza tu. Sijui ilikuaje mwishoni. Ni hatari sana.
Ndo mnaonaa raha sanaa kufanya hvyoo? Makubwaaa khaaah.Aliwe uyo then atengwe
Ndo maana watu wa hvi wengi hawasomi ualimu, sasa huyo wa ndanda boys, anapanikishwaa na wanafunzi eti anataka kulia, c angewapiga bit 1 tyuuh, na kuwaburuza fimbo kila day.Watu wenye tabia hizi nimesoma nao primary na secondary. Naweza waweka makundi mawili, kuna dogo primary ukikutana nae anavyoongea unajua kuna kitu hakipo sawa. Alikua anaongea kama binti sio sauti nyembamba but ile pronunciation. Lakini huyu dogo alikua hakai na mabinti na hadi yupo fresh hatuna shaka nae. Kama huyu pia nilimkuta ticha fulani pale Ndanda Boys (Waliosoma pale watamjua) huyu ticha akiongea pronunciation na mikono kama binti maana wana walikua wanampanikisha sometimes alikua anaongea kama anataka kulia. Lakini yeye pia alipita hapo hapo Ndanda Boys kama mwanafunzi na now ameoa fresh.
Halafu kuna mmoja nilikutana nae secondary Huyu alikua kila kitu kama binti na company nayo ni full mabinti. Na sasa namuona anapost post mambo ya fashion kwa kweli ananitia mashaka.
But kama kule Pattaya wanaume wanapigwa sindano hadi six packs zinapotea unaota mtindi. Basi kuwafanya hawa watu kuwa wanaume pure inawzekana.
Kwahyo atokee ktk tatizo 1 na kuwa jingne?Nakupa solution ya hili tatizo ila sio kisayansi hii ni namna ya kudeal na ishu kama hii kimtaani.
Ni bora awe muhuni kuliko kuwa shoga. Mchukue dogo anza kwenda nae maskani za wahuni ikiwezekana mlishe na ganja kabisa. Akifika huko maskani stori atakazo zisikia na mambo atakayokua anafanya itamuondolea tabia za kike kabisa.
Ni rahisi kuacha uhuni kuliko kuacha ushoga.
UNAFIKI Bongo ndo ulizaliwa na kukuliaa.Dhana ya ushoga haijaeleweka kwa Watanzania wengi. Unamtesa, kumnyanyasa na kumuhukumu mtu ambaye yupo hivyo si kwa matakwa yake, labda ni makuzi, wengine ni victims wa kulawitiwa, nk.
Na wahuni na mabaladhuli wengine wanaowatamani, hao sasa ndiyo mashoga OG maana wanatamani mtu wa jinsia yao tena kwa utashi wao wenyewe. Halafu jamii yetu hawa ndiyo inawasifia na kuona ndiyo watu wa maana na wanaume wa kweli.
Naunga hoja mkono[emoji23][emoji23]Nakupa solution ya hili tatizo ila sio kisayansi hii ni namna ya kudeal na ishu kama hii kimtaani.
Ni bora awe muhuni kuliko kuwa shoga. Mchukue dogo anza kwenda nae maskani za wahuni ikiwezekana mlishe na ganja kabisa. Akifika huko maskani stori atakazo zisikia na mambo atakayokua anafanya itamuondolea tabia za kike kabisa.
Ni rahisi kuacha uhuni kuliko kuacha ushoga.
Kiufupi kaharibiwa na hao dada zake wakidhani ana tatizo la hormons za kike huku wakiwa hawana taaluma ya utabibu.Nilikuwa simfahamu huyu ndugu yangu, ni mtoto wa mama mdogo, nimemfahamu juzi kwenye family gathering event😭ni damu yangu kabisa halafu kijana, mara ya kwanza nlivomuona tabia zake, na jinsi anavotembea, Nilipata mashaka nikahisi kuna kitu kimempungukia kama mwanaume.
Nlivyokuja kuongea naye sasa oh gosh 😭😭anavoweka mikono, vidole, halafu body language yake anajishebedua kwa pozi za kike kabisa, halafu Muda mwingi alikuwa anashinda jikoni na dada zake sijui wamemzoea.
Nikamvuta pembeni dada yake mmoja kuonyesha mshangao wangu, nikamwambia hili ni janga kwenye familia yetu, akaniambia In very simple way ni shida tu ya homoni..
Kuna waliowahi kuwa na Tatizo hili au ndugu wenye tatizo hilo halafu likarekebishika? Kingereza linaitwa "effeminacy" Maana Nimegoogle nikaona mwanaume kuwa hivyo na tabia za kike haimaanishi kuwa ni shoga, ila kuna uwezekano Mkubwa wa yeye Kuja kuwa shoga.
Janga hili kwenye familia yetu😭😭
Sasa km hana tatizo la hormones, huko Muhimbili apelekwe akafanye nn?Kiufupi kaharibiwa na hao dada zake wakidhani ana tatizo la hormons za kike huku wakiwa hawana taaluma ya utabibu.
Msaidie nduguyo mpeleke muhimbili wanaweza kumtibu
Kwahy unataka akazwe kama wewe?Hilo ndio suluhisho au ndo utatuzi wa changamotoo hii? Kazi ipoo kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha homone za kike wala nini,mbona vijijini huu ujinga hakuna?Kiufupi kaharibiwa na hao dada zake wakidhani ana tatizo la hormons za kike huku wakiwa hawana taaluma ya utabibu.
Msaidie nduguyo mpeleke muhimbili wanaweza kumtibu
Nafikiri ungetoaa ushauri ulio boraa, tatizo uwezo wako wa kufikiru ndo umeishia hapo. PoleeeeeehKwahy unataka akazwe kama wewe?
Wacha kijana,ili uwe wanaume lazima ukaze sasa kama unakazwa hapo hakuna uanamme tena.
Kijijini gan? Wapo na wamejaa teleee.Hakuna cha homone za kike wala nini,mbona vijijini huu ujinga hakuna?
Socila media,malezi mabovu ndy impacts za huu ujinga kushamiri.
Ikiwezekana mpleke hospitali akapimwe hormone zake huenda ana hormone nyingi za kike kuliko hormone za kiume .Nilikuwa simfahamu huyu ndugu yangu, ni mtoto wa mama mdogo, nimemfahamu juzi kwenye family gathering event😭ni damu yangu kabisa halafu kijana, mara ya kwanza nlivomuona tabia zake, na jinsi anavotembea, Nilipata mashaka nikahisi kuna kitu kimempungukia kama mwanaume.
Nlivyokuja kuongea naye sasa oh gosh 😭😭anavoweka mikono, vidole, halafu body language yake anajishebedua kwa pozi za kike kabisa, halafu Muda mwingi alikuwa anashinda jikoni na dada zake sijui wamemzoea.
Nikamvuta pembeni dada yake mmoja kuonyesha mshangao wangu, nikamwambia hili ni janga kwenye familia yetu, akaniambia In very simple way ni shida tu ya homoni..
Kuna waliowahi kuwa na Tatizo hili au ndugu wenye tatizo hilo halafu likarekebishika? Kingereza linaitwa "effeminacy" Maana Nimegoogle nikaona mwanaume kuwa hivyo na tabia za kike haimaanishi kuwa ni shoga, ila kuna uwezekano Mkubwa wa yeye Kuja kuwa shoga.
Janga hili kwenye familia yetu😭😭
Akasafishwe na kuanza tibaSasa km hana tatizo la hormones, huko Muhimbili apelekwe akafanye nn?
Sent using Jamii Forums mobile app