Huna unachokijuaaa nakuambia tema mate chini ombaa yasikukutee. Kuna familia 1 ilipata mtoto mwenye matatizo ya hormone km huyo, walikua wana mlea km ambavyo wee unasimuliaa, mtoto wakampelekaaa ktk misingi ya dini pia.
Mtoto aliteswaa na kunyanyaswaa, sio kaka zake, na baba ake, hata dada zake ilikua ni kwa kuibia couz walipewa onyo wasifuatane nae.
Mama ake ndo alikua Pa1 na mtoto, mwsho wa siku mtoto alitafuta furaha nje, akaishia kukutana na watu mwsho wake kuwa Gay.
Case ya hivi haitatuliwi na hayo unayo elezaa, ndo mnfanyaa aingie pabayaaa.
Sent using
Jamii Forums mobile app