Msaada tutani: Ndugu yangu Wa kiume ana tabia za kike, suluhisho la hili tatizo ni nini?

Simple tu nenda nae geto kwako tafuta mwanamke kwa gharama zozote akae nae wiki moja hakikisha anamkaza huyo mdada kutwa mara tatu kama dozi ya malaria.

Asipo mkaza huyo mdada mtie vitasa kwelikweli.
Hilo ndio suluhisho au ndo utatuzi wa changamotoo hii? Kazi ipoo kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann hukwenda kumkanyaa huyo kinyozii? Afu baadae lawama na kejeli anapata huyo dogo, akati kinyozi ana tamba zake mtaan, hana wasi wasi. Lol.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana watu wa hvi wengi hawasomi ualimu, sasa huyo wa ndanda boys, anapanikishwaa na wanafunzi eti anataka kulia, c angewapiga bit 1 tyuuh, na kuwaburuza fimbo kila day.

Wengine wanaoa ili kukwepa lawama na aibu kwa jamii, ilihali ukweli wanaujua wao wenyeweee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo atokee ktk tatizo 1 na kuwa jingne?
Awe muhuni,kibakaa mwizi au jambazi aishie kuwa tejaa??

Kazi ipooo khaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UNAFIKI Bongo ndo ulizaliwa na kukuliaa.

Boraa uwaambie ukweli weweee, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga hoja mkono[emoji23][emoji23]
 
Kiufupi kaharibiwa na hao dada zake wakidhani ana tatizo la hormons za kike huku wakiwa hawana taaluma ya utabibu.

Msaidie nduguyo mpeleke muhimbili wanaweza kumtibu
 
Kiufupi kaharibiwa na hao dada zake wakidhani ana tatizo la hormons za kike huku wakiwa hawana taaluma ya utabibu.

Msaidie nduguyo mpeleke muhimbili wanaweza kumtibu
Sasa km hana tatizo la hormones, huko Muhimbili apelekwe akafanye nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiufupi kaharibiwa na hao dada zake wakidhani ana tatizo la hormons za kike huku wakiwa hawana taaluma ya utabibu.

Msaidie nduguyo mpeleke muhimbili wanaweza kumtibu
Hakuna cha homone za kike wala nini,mbona vijijini huu ujinga hakuna?

Socila media,malezi mabovu ndy impacts za huu ujinga kushamiri.
 
Azuiwe asiende sehemu kama pemba,malindi ,tanga ,mombasa na sehemu zinazofanana na hizo
 
Kwahy unataka akazwe kama wewe?

Wacha kijana,ili uwe wanaume lazima ukaze sasa kama unakazwa hapo hakuna uanamme tena.
Nafikiri ungetoaa ushauri ulio boraa, tatizo uwezo wako wa kufikiru ndo umeishia hapo. Poleeeeeeh
 
Hakuna cha homone za kike wala nini,mbona vijijini huu ujinga hakuna?

Socila media,malezi mabovu ndy impacts za huu ujinga kushamiri.
Kijijini gan? Wapo na wamejaa teleee.

Unataka kusema nn hapa.
 
Ikiwezekana mpleke hospitali akapimwe hormone zake huenda ana hormone nyingi za kike kuliko hormone za kiume .
 
Nafikiri ungetoaa ushauri ulio boraa, tatizo uwezo wako wa kufikiru ndo umeishia hapo. Poleeeeeeh
Inamaana kumshauri huyo kijana akaze ni vibaya,sifa ya mwanaume kamili ni kukaza tu ukiona hakazi ujue amekuwa wewe cocastic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…