Kwa Mara ya kwanza tangu nikufahamu leo akili imekurudiaUmeandika kama umeondolewa ubongo. Hiyo degree yako imekuwa ni hasara kwako.
Nakushauri urudi nyumbani ukakiri kosa na kuomba msamaha, hiyo ndio njia pekee itakayofungua baraka kwa Mungu. Pia, achana na siasa maana in aonekana siasa kwako ni mzigo unaokufanya ukose hekima.
Keshamvua nguo baba yake huyo kisa 700K so mzee hana imaΓ±i naye.Hasara ni hizo pesa na muda uliopoteza kusotea hiyo unayoita degree, ingekuwa kwa Ras Simba ungerudishiwa tu.
Kuhusu nyumbani, hapo ni kwa baba yako, komaa hapo hapo tena kuume kwa baba.
huyu jamaa dish limecheza sio bure.... πππ kamdai baba yake laki 7 ...siaende kwa pole pole sasa amuombe ampatie hela ya kodiacha ujinga kenge wew, unaanza kugombania urithi eti usipunjwe? ,
unamlipisha mzee laki saba!!? inaonekana wew ni jeuri tu!
πππ kesha pewa laana huyu...halafu anajinadi kuwa ni degree holder...hizi degree za siku hizi ni mashudu sijapata kuonaLaki 7 ndo umdhalilishe baba yako mpk serikali za mitaa? Duu, na urithi unaufikiria saiv?
Nimeamshangaa sana. Kwanza jinsi alivyoichukua hiyo laki 7 kutoka kwa dingi yake. Halaf leo hii anarud ntumban ..anatarajia baba ake ampokee kwa amani.Ulikubali mwenyewe pasipo shaka kwamba Mzee wako akilipa laki 7 yako basi husikanyage nyumbani kwenu. Sasa sijuhi tukusaidieje?
Sent using Jamii Forums mobile app