Msaada wa mawazo: COVID19 inanirejesha nyumbani, baba naye hanitaki

Msaada wa mawazo: COVID19 inanirejesha nyumbani, baba naye hanitaki

Wewe ni jinsia ipi samahani??
Wewe siyo mtanesco kweli?? Samahani kukuuliza haya maswali mkuu??
Deo Nalimi Kisandu nani yako??

Everyday is Saturday.........................😎
 
Wewe kweli huna akili timamu miaka 37 unang'ang'ania kwa baba eti mtoto dah... 😛 😛 😀 😀
 
Umeandika kama umeondolewa ubongo. Hiyo degree yako imekuwa ni hasara kwako.

Nakushauri urudi nyumbani ukakiri kosa na kuomba msamaha, hiyo ndio njia pekee itakayofungua baraka kwa Mungu. Pia, achana na siasa maana in aonekana siasa kwako ni mzigo unaokufanya ukose hekima.
Kwa Mara ya kwanza tangu nikufahamu leo akili imekurudia
 
Mkuu kikoozi nakukumbuka sana mwaka 2015 ulikua unajifanya mjuaji sana kwa vijana wanaotaka kwenda chuo kwa kuwatolea maneno ya kejeli ,dharau na kukatisha tamaa. Kwakweli ulinikera hadi leo miaka mitano imepita sijakusahau..

Naomba uendelee kukaziwa na maisha ili siku za mbele uwe na busara na ujue hata ukiwa nyuma ya ID fake maneno yako yanawaathiri watu kwa namna moja au nyingine.. kwahio pambana na hali yako au Uwaombe CCM wakusaidie ukae kwenye ofisi zao by the way chama chako kina ofisi nyingi..

Na bado hadi unyooke kmmke😠
 
😂😂😂😂😂
Kijana una matatizo Sana..ila pole..usijaribu pigana na ukuta aisee
 
Hasara ni hizo pesa na muda uliopoteza kusotea hiyo unayoita degree, ingekuwa kwa Ras Simba ungerudishiwa tu.

Kuhusu nyumbani, hapo ni kwa baba yako, komaa hapo hapo tena kuume kwa baba.
Keshamvua nguo baba yake huyo kisa 700K so mzee hana imañi naye.
 
Hii ni chai au uko serious? Huwezi ukamdai mzazi wako pesa hata kama mmegombana, wewe unaonekana mama/ ndugu yako yako alikuwa akikukochi vibaya, makosa ni yako kammwombe msahamaha mzee wako
 
Daaah! Bora papai lenye corona, naweza sema labda lilishikwa na mtu mwenye corona ila sio wewe.

Umemdai baba yako laki 7, bila aibu, na akaapa asikuone kwake tena, leo unalazimisha kurudi!

Hivi ni nini faida ya hiyo elimu yako? Miaka 37, mwanachama wa CCM, na degree juu umeshindwa kujua ridhiki ya mtoto ipo kinywani mwa babaye/mamaye! Hatari, mimi nikiwa na miaka 21 nilisepa home, na kujitegemea, na sikuwahi kufarakana na wazazi wangu kwa namna hiyo.

Pole sana, ila pambana na hali yako, tafuta vyako. Acha kulia lia
 
Kwanini hukuwa mmoja wa wale waliokwenda na mafuta ya Mwamposa? 😠
 
Laki 7 ndio umdhalilishe baba yako mpaka serikali za mitaa? Duu, na urithi unaufikiria sasa hivi?
 
Hivi huyu chizi mnamshauri wa nani. Mkuu kauze washeli upate hela ya kujikimu. Kwa umri wako mm nlikuwa kwangu na mke na mtoto mmoja mimi saiz nakuzidi miaka3 tu.nina nyumba kubwa 50mil na usafiri na viwanja sita. Bro hujitambui kwabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha ujinga kenge wew, unaanza kugombania urithi eti usipunjwe? ,
unamlipisha mzee laki saba!!? inaonekana wew ni jeuri tu!
huyu jamaa dish limecheza sio bure.... 😃😃😃 kamdai baba yake laki 7 ...siaende kwa pole pole sasa amuombe ampatie hela ya kodi
 
Laki 7 ndo umdhalilishe baba yako mpk serikali za mitaa? Duu, na urithi unaufikiria saiv?
😃😃😃 kesha pewa laana huyu...halafu anajinadi kuwa ni degree holder...hizi degree za siku hizi ni mashudu sijapata kuona
 
We elimu haijakusaidia kabisa.
Unatumia nguvu badala ya akili.
 
Ulikubali mwenyewe pasipo shaka kwamba Mzee wako akilipa laki 7 yako basi husikanyage nyumbani kwenu. Sasa sijuhi tukusaidieje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeamshangaa sana. Kwanza jinsi alivyoichukua hiyo laki 7 kutoka kwa dingi yake. Halaf leo hii anarud ntumban ..anatarajia baba ake ampokee kwa amani.
Like seriously?

This guy is not serious.. probably anatumia covid 19.na ccm kama visingizio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom