financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kweli we ni kikoozi, miaka 37 hiyo unaelekea 40 wewe si kijana ni baba pia ,tafuta mali zako😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndo la msingi kaja kuonesha akili za makada zilivyo
Kumbuka ana miaka 37Umeandika kama umeondolewa ubongo. Hiyo degree yako imekuwa ni hasara kwako.
Nakushauri urudi nyumbani ukakiri kosa na kuomba msamaha, hiyo ndio njia pekee itakayofungua baraka kwa Mungu. Pia, achana na siasa maana in aonekana siasa kwako ni mzigo unaokufanya ukose hekima.
Mrembo kibenten hichoo,hebu mpe hifahdi na u kipendezeshe uenjoyMiaka 37 unategemea kuishi kwa Baba ?
Bora niwe mwenyewe kuliko kuishi na mario.Mrembo kibenten hichoo,hebu mpe hifahdi na u kipendezeshe uenjoy
[emoji2][emoji2][emoji2] sasa maumivu yakizid si itakubidi umuone daktari? Utamuona nan sasaBora niwe mwenyewe kuliko kuishi na mario.
Doldo[emoji2][emoji2][emoji2] sasa maumivu yakizid si itakubidi umuone daktari? Utamuona nan sasa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Doldo
huyu ni ccm ndivyo walivyo na siasa zao maji takaUmeandika kama umeondolewa ubongo. Hiyo degree yako imekuwa ni hasara kwako.
Nakushauri urudi nyumbani ukakiri kosa na kuomba msamaha, hiyo ndio njia pekee itakayofungua baraka kwa Mungu. Pia, achana na siasa maana in aonekana siasa kwako ni mzigo unaokufanya ukose hekima.
nmesoma mara mbili mbili asee nlidhan kakoseaMkuu pole, samahani hapo kwenye Miaka 37 na CCM ni sahihi au umekosea? Hembu rekebisha utakua umekosea.