Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu
Your browser is not able to display this video.
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
Hayo mambo ndio yanaleta maswali zaidi, kitu gani kinafichwa huko mpaka kuwe na zuio, juzi wabunge wa umoja wa ulaya, leo Lissu, mwisho tutaambiwa Ngorongoro ilishauzwa hiivyo sio mali ya Watanzania
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
Hayo mambo ndio yanaleta maswali zaidi, kitu gani kinafichwa huko mpaka kuwe na zuio, juzi wabunge wa umoja wa ulaya, leo Lissu, mwisho tutaambiwa Ngorongoro ilishauzwa hiivyo sio mali ya Watanzania
Wengi tunaamini kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ni msomi na mjuzi wa sheria za Tanzania na Kimataifa. Kwa nini Lissu anataka kuhutubia mkutano wa hadhara katika nchi jirani ya Loliondo? Nani kamwambia Lisu Ngorongoro ni Tanzania ilhali ni moja ya Emirates za Arabu? Hivi hakuna wanaomshauri Lissu kuhusu mipaka ya nchi yetu? Hivi bado Chadema wanaamini mipaka ya 1961? Shuuubaaamit.
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.