Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inashangaza sanaWakomae hapo hapo mpaka kieleweke ,kwanini wazuiwe wasifanye mkutano? Kunani hapo?
Sasa na watalii itakuaje... wao watakua wanaruka angani?Avunje barrier aingie akisema haondoki ataumia yeye maana waliozuia wanaadilisha shift ye itabidi asimame hapohapoSa
Sasa na watalii itakuaje... wao watakua wanaruka angani?Avunje barrier aingie akisema haondoki ataumia yeye maana waliozuia wanaadilisha shift ye itabidi asimame hapohapoSa
Ulikuwepo 2020 Kamanda wa Mkoa wa Pwani alipomzuia Kibaha?Avunje barrier aingie akisema haondoki ataumia yeye maana waliozuia wanaadilisha shift ye itabidi asimame hapohapo
Wee nawe ujinga wako hauishi! Hufahamu kuwa Ngorongoro ni wilaya na ina kata nyingi!Kwani Jana walihutubia wapi na leo wanaelekea wapi?
Kuna siku inakuja, japo hatujui ni lini wala saa ngapi ila naamini ipo inakuja, Watanzania wataamka kutoka usingizini/Ulimbukeni hakika naona kabisa kuna viongozi watakimbia hii Nchi.Hizi ni dalili za ukoloni kurudi Tanzania leo hii mbuga zinauzwa kesho wataanza kuuza ardhi za makazi yetu wataanza kupewa wageni wamiliki
Hehehee huyu naye unaweza kuta ni miongoni mwa wapiga zuio.Sasa na watalii itakuaje... wao watakua wanaruka angani?
Vipi picha kimataifa... huoni inaleta picha mbaya?
Yaani barabara imefungea,wewe unawaza kubadilisha shift... aiseem
Hehehe......alijua ngorongoro ni KijijiWee nawe ujinga wako hauishi! Hufahamu kuwa Ngorongoro ni wilaya na ina kata nyingi!
Chawa mpumbavu!
Endeleeni kusubiria majibu kutoka Kwa SerikaliHii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
Endelea kusubiria tangazoKumbe hii NCHI KUNA MAENEO WATANZANIA HAWATAKIWI KWENDA?
BASI TUNGETANGAZIWA KWANINI WANAZUIA KAMA KUNA MAGONJWA KAMA KIPINDUPINDU AU CORONA?
Hakika alikuwa Mwana wa Mungu😂😂🔥
Umenikumbusha siku ya Mitende!
Walimwimbia Hossana 😂😂😂
Polisi wanavunja katiba wazi wazi wala.hawana hofu.Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.