Msafara wa Makamu Mwenyekiti Chadema, Tundu Lissu wazuiliwa kuingia Ngorongoro
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,

Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,

Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?

Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
View attachment 2743928View attachment 2743929
wamehaidi kutohondoka.
Rudi shule au la bado unaongea kishamba kishamba
 
Emirates za Arabu !!! Bado elimu inahitaji miaka kukamilika
 
Wengi tunaamini kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ni msomi na mjuzi wa sheria za Tanzania na Kimataifa. Kwa nini Lissu anataka kuhutubia mkutano wa hadhara katika nchi jirani ya Loliondo? Nani kamwambia Lisu Ngorongoro ni Tanzania ilhali ni moja ya Emirates za Arabu? Hivi hakuna wanaomshauri Lissu kuhusu mipaka ya nchi yetu? Hivi bado Chadema wanaamini mipaka ya 1961? Shuuubaaamit.
Hakika asomewe katiba, aheshimu mipaka ya nchi
 
Hapo kuna Watalii Macho ya Dunia YANAPITA......Dunia Kijiji

Tumetangaza Royol Tour.....kama anakwenda Kutalii?

Ngorongoro Multiple land....WaTanzania wanaishi huko kama Ukerewe

Huko siyo Taliban Mitutu siyo Sehemu YAKE...

Conservation siyo wanyama tu Binadam wa Kwanza aliish Olduvai na Wanyama tena Aliwinda wanyamapori ....Fikirieni kwa Upana why Maasai.....why UNESCO

Shindaneni kwa HOJA SIYO MITUTU

Rethink!!!!
Inasikitisha sana
 
Huu sasa ndiyo muda wa kujulikana rasmi kuwa Ngorongoro na Loliondo sio Tanganyika bali ni United Arabs Emirates..

Mungu leo na ijulikane rasmi Ngorongoro na Loliondo ni nchi gani..!!
 
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,

Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,

Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?

Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
View attachment 2743928View attachment 2743929
Serikali iwapige mabomu ya machozi watafutane wanataka kutuharibia nchi yetu wengine hawakawii kukimbilia ubalozini na kusindikizwa kwenda kuungana na familia zao na kutuacha sisi hapa
 
Unaandaa Royal Tour at the same time una haribu image ya utalii kwa sababu na mbinu za kifala pale Ngorongoro ni wapumbavu pekee hufanya maamuzi ya namna hii.

Ifike hatua tuwe tunapima IQ ya mtu kabla hajawa kiongozi.
Mitafaruku ya Kisiasa ipo Kila Nchi Wala hakuna Cha image kuhatibika hapo
 
Back
Top Bottom