uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Duu
Mzanzibar anawapangia watanganyika
Mzanzibar anawapangia watanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamehaidi kutohondoka.Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
View attachment 2743928View attachment 2743929
WanawashwaTuki comment mnasema tuna comment upuuzi ..tukinyamaza pia mnalalalmika kwanini hatu comment..
Lipi jema kwenu?
Hakika asomewe katiba, aheshimu mipaka ya nchiWengi tunaamini kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ni msomi na mjuzi wa sheria za Tanzania na Kimataifa. Kwa nini Lissu anataka kuhutubia mkutano wa hadhara katika nchi jirani ya Loliondo? Nani kamwambia Lisu Ngorongoro ni Tanzania ilhali ni moja ya Emirates za Arabu? Hivi hakuna wanaomshauri Lissu kuhusu mipaka ya nchi yetu? Hivi bado Chadema wanaamini mipaka ya 1961? Shuuubaaamit.
Huyo huyoAbdul yule fisadi anayetumia cheo cha mamake kutuibia?
Huenda huyu mwenye hii thread akawa na hoja |👉🏼 Chadema imevunja sheria, namshangaa sana Tundu LissuHayo mambo ndio yanaleta maswali zaidi, kitu gani kinafichwa huko mpaka kuwe na zuio, juzi wabunge wa umoja wa ulaya, leo Lissu, mwisho tutaambiwa Ngorongoro ilishauzwa hiivyo sio mali ya Watanzania
Tuambiwe kama pameshauzwa ili tuingie na Pasport/VIZAHayo mambo ndio yanaleta maswali zaidi, kitu gani kinafichwa huko mpaka kuwe na zuio, juzi wabunge wa umoja wa ulaya, leo Lissu, mwisho tutaambiwa Ngorongoro ilishauzwa hiivyo sio mali ya Watanzania
Tuki comment mnasema tuna comment upuuzi ..tukinyamaza pia mnalalalmika kwanini hatu comment..
Lipi jema kwenu?
Inasikitisha sanaHapo kuna Watalii Macho ya Dunia YANAPITA......Dunia Kijiji
Tumetangaza Royol Tour.....kama anakwenda Kutalii?
Ngorongoro Multiple land....WaTanzania wanaishi huko kama Ukerewe
Huko siyo Taliban Mitutu siyo Sehemu YAKE...
Conservation siyo wanyama tu Binadam wa Kwanza aliish Olduvai na Wanyama tena Aliwinda wanyamapori ....Fikirieni kwa Upana why Maasai.....why UNESCO
Shindaneni kwa HOJA SIYO MITUTU
Rethink!!!!
Tunasimama na DP World na mama saa 100.Tuki comment mnasema tuna comment upuuzi ..tukinyamaza pia mnalalalmika kwanini hatu comment..
Lipi jema kwenu?
Serikali iwapige mabomu ya machozi watafutane wanataka kutuharibia nchi yetu wengine hawakawii kukimbilia ubalozini na kusindikizwa kwenda kuungana na familia zao na kutuacha sisi hapaHii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
View attachment 2743928View attachment 2743929
.Tunafuatilia kwa karibu, matukio yote yarekodiwe vizuri. Haki haijawahi kushindwa
Mitafaruku ya Kisiasa ipo Kila Nchi Wala hakuna Cha image kuhatibika hapoUnaandaa Royal Tour at the same time una haribu image ya utalii kwa sababu na mbinu za kifala pale Ngorongoro ni wapumbavu pekee hufanya maamuzi ya namna hii.
Ifike hatua tuwe tunapima IQ ya mtu kabla hajawa kiongozi.