Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kivipi mkuuHuu ni mkakati wa kumtengenezea mama Abdul ajali ya kisiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuuHuu ni mkakati wa kumtengenezea mama Abdul ajali ya kisiasa
Mkuu wewe ni akili kubwa na mstaarabu.If a group of people thinks the same ...someone is not thinking...
Mkuu hawa uvcc wako kama kikundi cha wahasi cha Wagner wabadilika kulingana dau utakaloweka mezani,Mungu wao ni pesa.Mkuu wewe ni akili kubwa na mstaarabu.
Ninaweza kugundua hili kwenye michango yako mingi kipindi cha nyuma.
Hivyo, michango yako naisoma hata kama sikubaliani nayo.
Lakini recently, umeegemea zaidi kwenye udini na hata wakati mwingine kutoa maoni yasiyo na mashiko. Nikipata muda nitaweka hapa.
Just my 2 cents.
Wewe dada ulinitoroka kwenye uzi unaoenda kwa tittle "Wenza wa vigogo kulipwa mafao"Mitafaruku ya Kisiasa ipo Kila Nchi Wala hakuna Cha image kuhatibika hapo
Hakuna haja folen likiwa likubwa itabid watumie mabomu ya machozi ndio Dunia itajuaAvunje barrier aingie akisema haondoki ataumia yeye maana waliozuia wanaadilisha shift ye itabidi asimame hapohapo
Hivi wewe dada ujinga utakuisha lini ?!![emoji15][emoji1787][emoji1787]Mkuu hawa uvcc wako kama kikundi cha wahasi cha Wagner wabadilika kulingana dau utakaloweka mezani,Mungu wao ni pesa.
😃😄😀😅😁😁😁Inanikumbusha Yule Jamaa Wa Police Aliyeutaka UIgiipiiiHakuna haja folen likiwa likubwa itabid watumie mabomu ya machozi ndio Dunia itajua
Wamasai hawana nchi nyingine zaidi ya Tanganyika, na ardhi yao ni hiyo wanayoishi. Waarabu wana kwao. Wamasai waondolewe kwenye ardhi yao, kisa kuna Waarabu wanataka kuifanya iwe sehemu ya UAE. Wewe unaona ni sahihi.Tuki comment mnasema tuna comment upuuzi ..tukinyamaza pia mnalalalmika kwanini hatu comment..
Lipi jema kwenu?
Si wote ni UVCCM.Mkuu hawa uvcc wako kama kikundi cha wahasi cha Wagner wabadilika kulingana dau utakaloweka mezani,Mungu wao ni pesa.
😂😂kamkamate wewe na mamako kama unaubavu.
mshenzi ni wewe na mamako nyumbani kwenu na mwenyekit weni wa ccm bwabwa wewe, nenda kamvunje wewe hio miguu nguruwe wa dpworld wewe.
Ndiyo maana halisi ya nchi kuuzwa,Hayo mambo ndio yanaleta maswali zaidi, kitu gani kinafichwa huko mpaka kuwe na zuio, juzi wabunge wa umoja wa ulaya, leo Lissu, mwisho tutaambiwa Ngorongoro ilishauzwa hiivyo sio mali ya Watanzania
Mnataniana mambo mazitomazito kama haya bila ukakasi wowote.
Hicho mnachokifanya ni sawa na house girl kumwambia baba mwenye nyumba uasingie chumbani maana houseboy yuko na mama mwenyenyumba chumbani kwao. Halafu nyie watoto mnachekelea hicho anachoambiwa baba yenu.
Washauri wapigwe kapicha wakiwa wanaimba wimbo wa kuimboa Ngorongoro
Ni wajibu wa kila mwananchi kutii Mamlaka inayotenda Haki lakini Ni halali na ni haki na wajibu wa mwananchi KOTOITII Mamlaka DHALIMU na DHULUMATI kama ya Sa100Nguvu za Mungu yupi anayemuelekeza kusema ovyo kwa viongozi wakati maandiko yanahimiza kutii mamlaka.