Msafara wa Makamu Mwenyekiti Chadema, Tundu Lissu wazuiliwa kuingia Ngorongoro
If a group of people thinks the same ...someone is not thinking...
Mkuu wewe ni akili kubwa na mstaarabu.

Ninaweza kugundua hili kwenye michango yako mingi kipindi cha nyuma.

Hivyo, michango yako naisoma hata kama sikubaliani nayo.

Lakini recently, umeegemea zaidi kwenye udini na hata wakati mwingine kutoa maoni yasiyo na mashiko. Nikipata muda nitaweka hapa.

Just my 2 cents.
 
Mkuu wewe ni akili kubwa na mstaarabu.

Ninaweza kugundua hili kwenye michango yako mingi kipindi cha nyuma.

Hivyo, michango yako naisoma hata kama sikubaliani nayo.

Lakini recently, umeegemea zaidi kwenye udini na hata wakati mwingine kutoa maoni yasiyo na mashiko. Nikipata muda nitaweka hapa.

Just my 2 cents.
Mkuu hawa uvcc wako kama kikundi cha wahasi cha Wagner wabadilika kulingana dau utakaloweka mezani,Mungu wao ni pesa.
 
Mnataniana mambo mazitomazito kama haya bila ukakasi wowote.

Hicho mnachokifanya ni sawa na house girl kumwambia baba mwenye nyumba uasingie chumbani maana houseboy yuko na mama mwenyenyumba chumbani kwao. Halafu nyie watoto mnachekelea hicho anachoambiwa baba yenu.
 
Mitafaruku ya Kisiasa ipo Kila Nchi Wala hakuna Cha image kuhatibika hapo
Wewe dada ulinitoroka kwenye uzi unaoenda kwa tittle "Wenza wa vigogo kulipwa mafao"

Mungu si chawa tumekutana tena hapa.

Nataka nikukumbushe tena.

Wewe image unayoweza kutetea isiharibike ni ya mabwana zako tu huko chamani kwenu.

Mimi sikuchukii.

Nakukumbusha wajibu wako kama chawa.

Fikiria hilo.
 
Yaliyomo Yamo, Lazima Tu
Serikali Ya Kuupiga Mwingi Itamleta Msigwa Aseme Na Umma Wa Tanzania
 
Mkuu hawa uvcc wako kama kikundi cha wahasi cha Wagner wabadilika kulingana dau utakaloweka mezani,Mungu wao ni pesa.
Hivi wewe dada ujinga utakuisha lini ?!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Wewe hupendi pesa?!!!

Sisi kazi yetu ni ulinzi wa itikadi na imani ya chama....kwetu punda afe mzigo wa chama ufike....

Pokea hili na ulielewe...

Sisi tunafundishwa "10 D's against political opponents...."zitafute uzijue.....

#SiempreCCM[emoji120]
 
Hakuna haja folen likiwa likubwa itabid watumie mabomu ya machozi ndio Dunia itajua
😃😄😀😅😁😁😁Inanikumbusha Yule Jamaa Wa Police Aliyeutaka UIgiipiii
Akiwa Pwani Aliwahi Kuzuia Msafara Wa Top Leaders Wa Serikali
Ghafla Igiipii Naye Yumo Ikabidi Aruhusu Magari Yote

Acha Tuone Ngorongoro Nako
 
Tuki comment mnasema tuna comment upuuzi ..tukinyamaza pia mnalalalmika kwanini hatu comment..
Lipi jema kwenu?
Wamasai hawana nchi nyingine zaidi ya Tanganyika, na ardhi yao ni hiyo wanayoishi. Waarabu wana kwao. Wamasai waondolewe kwenye ardhi yao, kisa kuna Waarabu wanataka kuifanya iwe sehemu ya UAE. Wewe unaona ni sahihi.

Wema na hekima ni kusimama na wananchi wenzako bila ya kujali hali zao. Tupokee wawekezaji lakini siyo kwa gharama ya kuwadhulumu watu wetu.

Wema kwako na sisi wengine sote, ni kusimama na wenzetu wanaoonewa.
 
Mkuu hawa uvcc wako kama kikundi cha wahasi cha Wagner wabadilika kulingana dau utakaloweka mezani,Mungu wao ni pesa.
Si wote ni UVCCM.

Wengine wanajitoa ufahamu kwasababu ya mambo ya udini, ukanda, ukabila au hata hali ya kipati walichonacho.

Well, ni sawa tu mtu kuchagua upande anataka.

Lakini kabla yakufanya maamuzi yakusupport jambo fulani basi shirikisha akili na si matako.

Asante.
 
Msululu uendelee kuwa mrefu.Hakuna kupoa.
 
Hayo mambo ndio yanaleta maswali zaidi, kitu gani kinafichwa huko mpaka kuwe na zuio, juzi wabunge wa umoja wa ulaya, leo Lissu, mwisho tutaambiwa Ngorongoro ilishauzwa hiivyo sio mali ya Watanzania
Ndiyo maana halisi ya nchi kuuzwa,
 
Mnataniana mambo mazitomazito kama haya bila ukakasi wowote.

Hicho mnachokifanya ni sawa na house girl kumwambia baba mwenye nyumba uasingie chumbani maana houseboy yuko na mama mwenyenyumba chumbani kwao. Halafu nyie watoto mnachekelea hicho anachoambiwa baba yenu.

Punguza kua serious mkuu hata tukichukia hakuna kitu twafanya
 
Nguvu za Mungu yupi anayemuelekeza kusema ovyo kwa viongozi wakati maandiko yanahimiza kutii mamlaka.
Ni wajibu wa kila mwananchi kutii Mamlaka inayotenda Haki lakini Ni halali na ni haki na wajibu wa mwananchi KOTOITII Mamlaka DHALIMU na DHULUMATI kama ya Sa100
 
nawaza isije ikawa zanzibar ndo wamiliki wa hilo eneo mhh
 
Back
Top Bottom