Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Uasi....
Tundu Lissu anataka kuamsha uasi dhidi ya DOLA....
Tundu Lissu anataka kuamsha uasi dhidi ya DOLA....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaaaa. Ramani ya TZ itakuwa na vijimapengo kwa sasaWengi tunaamini kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ni msomi na mjuzi wa sheria za Tanzania na Kimataifa. Kwa nini Lissu anataka kuhutubia mkutano wa hadhara katika nchi jirani ya Loliondo? Nani kamwambia Lisu Ngorongoro ni Tanzania ilhali ni moja ya Emirates za Arabu? Hivi hakuna wanaomshauri Lissu kuhusu mipaka ya nchi yetu? Hivi bado Chadema wanaamini mipaka ya 1961? Shuuubaaamit.
Avunjwe sana tuKuna tetesi mtu kavunjwa kiuno
Nguvu za Mungu yupi anayemuelekeza kusema ovyo kwa viongozi wakati maandiko yanahimiza kutii mamlaka.Ulikuwepo 2020 Kamanda wa Mkoa wa Pwani alipomzuia Kibaha?
As long as hajavunja sheria Lissu siku zote anatembea na nguvu za Mungu.
Mdude labda naye anatafuta mtokeo wa kwenda ughaibuni. Mimi ni wa hapa hapa pamoja na wengineTundu Lissu anako pa kukimbilia...
Lema anako pa kukimbilia....
Mdude je ?!!
Wewe je?!!
Anataka kuingia bila kibali kwenye nchi ya "Republic of Umanga" inamaana hajui kwamba lile eneo limeuzwa kwa Wajomba wa mtu!Wengi tunaamini kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ni msomi na mjuzi wa sheria za Tanzania na Kimataifa. Kwa nini Lissu anataka kuhutubia mkutano wa hadhara katika nchi jirani ya Loliondo? Nani kamwambia Lisu Ngorongoro ni Tanzania ilhali ni moja ya Emirates za Arabu? Hivi hakuna wanaomshauri Lissu kuhusu mipaka ya nchi yetu? Hivi bado Chadema wanaamini mipaka ya 1961? Shuuubaaamit.
Ohooo...!Wengi tunaamini kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ni msomi na mjuzi wa sheria za Tanzania na Kimataifa. Kwa nini Lissu anataka kuhutubia mkutano wa hadhara katika nchi jirani ya Loliondo? Nani kamwambia Lisu Ngorongoro ni Tanzania ilhali ni moja ya Emirates za Arabu? Hivi hakuna wanaomshauri Lissu kuhusu mipaka ya nchi yetu? Hivi bado Chadema wanaamini mipaka ya 1961? Shuuubaaamit.
Sasa umenena...[emoji106]Mdude labda naye anatafuta mtokeo wa kwenda ughaibuni. Mimi ni wa hapa hapa pamoja na wengine
Ashughulikiwe ki sawa sawaUasi....
Tundu Lissu anataka kuamsha uasi dhidi ya DOLA....
[emoji2956][emoji2956]Nguvu za Mungu yupi anayemuelekeza kusema ovyo kwa viongozi wakati maandiko yanahimiza kutii mamlaka.
Hiyo Mh kwake inasimamia Mhuni na si MheshimiwaHii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
View attachment 2743928View attachment 2743929
Yaani wameziba barabara wajingi sana hawaHii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
View attachment 2743928View attachment 2743929
Huna cha kujibu kaa pembeniHiyo Mh kwake inasimamia Mhuni na si Mheshimiwa
Huwezi kuwa na logic kaa pembeniYaani wameziba barabara wajingi sana hawa
Wajingi tunhao na wapimbivuHii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,
Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,
Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?
Serikali tupe majibu
View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.
View attachment 2743928View attachment 2743929
Umeandika nini,Wajingi tunhao na wapimbivu
Hata mimi pia nimeshanga Lissu inaingia nchi ya watu bila visaWengi tunaamini kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ni msomi na mjuzi wa sheria za Tanzania na Kimataifa. Kwa nini Lissu anataka kuhutubia mkutano wa hadhara katika nchi jirani ya Loliondo? Nani kamwambia Lisu Ngorongoro ni Tanzania ilhali ni moja ya Emirates za Arabu? Hivi hakuna wanaomshauri Lissu kuhusu mipaka ya nchi yetu? Hivi bado Chadema wanaamini mipaka ya 1961? Shuuubaaamit.