Msafara wa Makamu Mwenyekiti Chadema, Tundu Lissu wazuiliwa kuingia Ngorongoro
Kumbe hii NCHI KUNA MAENEO WATANZANIA HAWATAKIWI KWENDA?
BASI TUNGETANGAZIWA KWANINI WANAZUIA KAMA KUNA MAGONJWA KAMA KIPINDUPINDU AU CORONA?
Ndiyo yapo maeneo haturuhusiwi kwenda kama Zanzibar Mtanganyika lazima aingie kwa pasport japo ni sehemu ya Tanzania
 
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,

Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,

Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?

Serikali tupe majibu

View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.

View attachment 2743928View attachment 2743929

Ina maana wataendelea kubaki hapo kama wale ‘Wasabato Masalia’ waliokuwa wamepiga kambi pale JNIA ( Airport ) miaka ile hadi wakajapukutika wenyewe baada ya kukabwa na njaa!
 
Mambo Mengine inabidi kuweka Video pekee na kuuacha Umma ushuhudie.
Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kama inafungua nchi, wakati sio kweli.
Huwezi kufungua nchi kwa kuwazuia kuongea!
[emoji116]


View: https://youtu.be/eSdiogj9wgw?si=QhZ59-98n-JyWCnJ
Hapo ni Njiani kutoka Karatu kuelekea Gate la Loduare Ngorongoro. Ambapo polisi wameuzuia msafara wa makamu mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu ili asiingie Ngorongoro.
 
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,

Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,

Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?

Serikali tupe majibu

View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.

View attachment 2743928View attachment 2743929
Je wote kwenye hilo kundi wana msimamo sawa? Mapigo ya moyo yanafanana?
 
Bomu la machozi au maji ya washa washa ataweza kweli kuyahimili huyo mlemavu wa mguu?
 
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,

Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,

Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?

Serikali tupe majibu

View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.

View attachment 2743928View attachment 2743929
Tulilie haki ya kuishi ya wamasai
Screenshot_20220623-080149.jpg
 
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,

Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,

Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?

Serikali tupe majibu

View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.

View attachment 2743928View attachment 2743929
Naunga mkono.
Nawasihi wananchi wa huko wajitokeze kwa wingi kuziba hiyo barabara isipitike hadi hapo msafara wa Makamu Mwenyekiti utakapokuwa umeruhusiwa kuingia Ngorongoro.
 
Wafinywe wamefanya kosa gani? Halafu baadae utadai Uislam ni dini ya haki
Kufunga barabara ni kosa la uhujumu uchumi.

Tena wanakamatwa wafichwe ndani wakajitetee mahakamani. Wote hao kundi zima.

Halafu nyinyi wafuasi wao wa nyuma ya keyboard mtoke mkafanya maandamano.
 
Hii ndo habari iliyotufikia hivi punde, kwamba msafara wa Makamu Mwenyeki (Chadema),Mh lissu ,umezuiliwa kuingia Ngorongoro ili kufanya Mkutano wake na wananchi wa Ngorongoro,

Hata ivyo taarifa za awali zinasema msafara wa M/mwenyekiti mh Lissu, wamefunga barabara na wamehaidi kutohondoka pale mpaka watakapo rusiwa kuingia,

Swali Ngolongolo imekua sehemu nchi ndani ya chini mpaka kuzuia Makam kutorusiwa kwenda onana na wananchi wa Ngorongoro?

Serikali tupe majibu

View attachment 2743917
Tundu Lissu na wananchi wamekaa katikati ya barabara ya kuelekea Karatu hadi watakaporuhusiwa kuingia Ngorongoro. Tundu Lissu amesisitiza, Ngorongoro siyo gerezani na Maasai siyo watumwa.

View attachment 2743928e


View attachment 2743929
wanao ona mbali kisiasa ndani ya chama cha huyu jamaa, wameshajitenga na wanaendelea kujiweka kando zaid na harakati za huyu jamaa.
There is no way Elite persons wata join au kustay kwenye this kind of self emberasing politics. kama vile watoto manunda bana......
 
Back
Top Bottom