gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Atakuwa anaya onaga kwenye taarifa ya habari tu, sio kitu cha kutishia watu tena haswa wanaoyajua. Wengi huwa wakisikia wanadhani ni risasi ndio maana hupata taharuki.
Kwa hio hapo kwny video umewaona raia wakiwa wanakimbia sio?