Kwa hii tyumee? Anapita mapemaaa!Magu atapiga Sana magoti lakini hapiti ng'o!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hii tyumee? Anapita mapemaaa!Magu atapiga Sana magoti lakini hapiti ng'o!!
Mkurugenzi wa uchaguzi katutangazia jana kuwa sasa tutakuwa tunapigwa mabomu. Ni amri kutoka juuNimeona video ya mgombea mwenza wa CHADEMA akipigwa mabomu kisa kusimama na kuwasalimia wananchi. Roho imeniuma sana.
Nilikuwa nikiona watu wanajivisha mabomu na kwenda kulipua sehemu nilikuwa nashindwa kuelewa kwa nini mtu anafikia hatua hiyo, ila sasa nimeelewa kwa nini watu hujitoa muhanga.
Rais Magufuli anapita kila sehemu na kusalimia watu lakini hakuna wa kumgusa. Polisi mnahatarisha amani ya nchi.
View attachment 1585538
Na kweli ndugu tyume itatumika vibayaKwa hii tyumee? Anapita mapemaaa!
Kwa Sasa CDM hata wakiambiwa wastop kupiga kampeni, hakika naamini CCM na Magufuli tutawazika rasmi %100Jana mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi alisema yeye na IGP wamevumilia sana sasa polisi wataanza kupiga mabomu ndo utekelezaji huo umeanza kwa amri ya Mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi.
Kama mgombea ana mkutano katika jimbo au wilaya fulani inamaana katika jimbo au wilaya hiyo anahaki ya kuongea na jimbo au wilaya nzima, ndiyo maana wagombea hawaingiliani sasa sijui Mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi anaumia nini na ni kwa vyama vya upinzani tu, ccm hilo haliwahusu wao mikutano ni kila mahali popote na mda wowote.
Huyu 'mshenzi' Kiama chake kinakuja.Mkurugenzi wa uchaguzi katutangazia jana kuwa sasa tutakuwa tunapigwa mabomu. Ni amri kutoka juu
Angekuwa Tundu Lissu wasingepigaSalum kazingua angekaza mwanzo mwisho, pale kulikuwa hamna kesi
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Hiki ni kipindi cha kampeni popote penye watu na hakuna fujo mgombea anaweza kumwaga sera zake sio unampangia sehemu fulani simama,sehemu nyingine usisimameBila onyo? Walitokea tu na kuanza kurusha mabomu?
Magufuli na Majaliwa huwa wanapewaga onyo? Buku saba za Lumumba zinawafanya muonekane vitukoBila onyo? Walitokea tu na kuanza kurusha mabomu?
Kwenye clip ya Salum mwalimu uliona raia wakikimbia?Utakua hujawahi kua eneo linalopigwa bomu la machozi. Siamini kama yanavumilika.
Kubwa la wajinga unaonyesha jinsi ulivyo mjinga kwa komenti ya kijingaWeka hiyo video basi,tuone amekatika vipande vingapi
Yupo juu ya sheriaHivi Mgombea Mwenza wa Magu yule Mama Samia Suluhu naye huwa anapigwa mabomu ya machozi hivi hivi?au yeye huwa hasimami barabarani kusalimia wananchi?
Kajifunze kuandika halafu urudi jukwaani, mtaji wa CCM ni wajinga kama wewe, Magufuli mbona anasimama kusalimia wananchi na hapigwi mabomu?SASA MTU UMESHATAHADHARISHWA USIFANE KITU WEWE UNAFANYA UANTAKIWA UIGWE TU HAMNA NAMNA WAPIGWE TUUUU
HUYO jpm haendi nje ya ratiba na huwaga sibishani na watoto waliotungwa mimba na mama zao kwa kubakwa bar kama wewe huwezi kuwana akili timamu akiliyako inanuka pombe tuKajifunze kuandika halafu urudi jukwaani, mtaji wa CCM ni wajinga kama wewe, Magufuli mbona anasimama kusalimia wananchi na hapigwi mabomu?
Wewe mbwa mwenyewe una mimba umetungwa ndio maana hujielewi pumbavu, Kazuramimba, Kigoma msafara wa Lissu ulizuiwa sababu Rais alikuwa anafanya mkutano kinyume cha ratiba. WAPUMBAVU KAMA WEWE NDIO MTAJI WA CCMHUYO jpm haendi nje ya ratiba na huwaga sibishani na watoto waliotungwa mimba na mama zao kwa kubakwa bar kama wewe huwezi kuwana akili timamu akiliyako inanuka pombe tu
Anaposalimia Magufuli huwa anasimama chochoroni?jamani tuwe wakweli sasa mtu unapita katikati ya mitaa ya mji kabisa unafunga mtaa unaanza kuhutubia watu gari zingine hazina pa kwenda maduka ya watu ghafla vibaka wanajaa milangni ukiambiwa toka unajaza vibaka maduka ya watu hutaki
Hii video ni ushahidi wa upuuzi wa Chadema unaendaje katikati ya mtaa na kufunga mtaa?