Kwa hio hapo kwny video umewaona raia wakiwa wanakimbia sio?
Hii hapa.Nimeona video ya mgombea mwenza wa CHADEMA akipigwa mabomu kisa kusimama na kuwasalimia wananchi. Roho imeniuma sana. Nilikuwa nikiona watu wanajivisha mabomu na kwenda kulipua sehemu nilikuwa nashindwa kuelewa kwa nini mtu anafikia hatua hiyo, ila sasa nimeelewa kwa nini watu hujitoa muhanga. Rais Magufuli anapita kila sehemu na kusalimia watu lakini hakuna wa kumgusa. Polisi mnahatarisha amani ya nchi.
Salum kazingua angekaza mwanzo mwisho, pale kulikuwa hamna kesiRoho imeniuma sana. Salumu mwalimu anapigwa mabomu na kufokewa kama mkimbizi asiye na haki. Wananchi wanataka kumsikiliza lakini polisi wanamharass na kumlazimisha aondoke. Hapana hii sio sawa kabisa. Sisi wote ni watanzania na Tanzania ni yetu sote.
yanawasha usoni balaa🤣🤣🤣Utakua hujawahi kua eneo linalopigwa bomu la machozi. Siamini kama yanavumilika.
Ucha ulaini laini ww bomu la mchoz ndioo niniiUtakua hujawahi kua eneo linalopigwa bomu la machozi. Siamini kama yanavumilika.
ni wazi kabisa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi ameanza kujiingiza kwenye 18 ya The Hague bila yeye mwenyewe kujua.Jana mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi alisema yeye na IGP wamevumilia sana sasa polisi wataanza kupiga mabomu ndo utekelezaji huo umeanza kwa amri ya Mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi...
Hayo yalikuaga wkt yanapigwa tunahakikisha tuna yale maji ya kandoro,likifyatuliwa tu imooo.Atakuwa anaya onaga kwenye taarifa ya habari tu, sio kitu cha kutishia watu tena haswa wanaoyajua. Wengi huwa wakisikia wanadhani ni risasi ndio maana hupata taharuki.
Na ndipo utakua muda wa Mgonjwa kumpima Daktari COVID-19.ni wazi kabisa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi ameanza kujiingiza kwenye 18 ya The Hague bila yeye mwenyewe kujua.
Yaani mkuu hawa askari huu uonevu kuna siku uta backfire then tutaongea vitu vingine kabisa.Aisee labda hivyo.
Mkuu haya mambo yanatia hasira sana. Huu ni uonevu wa waziwazi kabisa.Hivi Mgombea Mwenza wa Magu yule Mama Samia Suluhu nae hua anapigwa mabomu ya machozi hivi hivi?au yeye hua hasimami barabarani kusalimia wananchi?
Furahia tu hii dhuluma wanayofanyiwa binadamu wenzako lakini amini nakuambia Mungu hajaenda likizo.Kabomu kamoja tu mnalalaama kama nzi wa chooni.
Siku ya kwanza kujikuta kwenye hilo balaa yaani nilipandwa hasira na maumivu kwa pamoja. Niipiga kelele za kama vile nabench press kilo 100.yanawasha usoni balaa🤣🤣🤣
Onyo la nini?Unaelewa sheria za uchaguzi zinasemaje?Unaelewa kuwa kama mgombea fulani ana ratiba ya kampeni mfano Rombo basi huyo mgombea ana haki ya kusimama popote pale ndani ya Rombo na kuhutubia?Bila onyo? Walitokea tu na kuanza kurusha mabomu?
CCM inapumulia mashine sasa hivi,wanajidanganya kuwa mwarubaini ni kupiga magoti na kuosha masufuria ya wananchi!Na awamu hii kura za maruhani hazitafua dafu piaMagu atapiga Sana magoti lkn hapiti ng'o!!
Polisi wengi ni vilaza form 4 failure. Wajinga sana kama Lissu alivyowaambiaNimeona video ya mgombea mwenza wa CHADEMA akipigwa mabomu kisa kusimama na kuwasalimia wananchi. Roho imeniuma sana. Nilikuwa nikiona watu wanajivisha mabomu na kwenda kulipua sehemu nilikuwa nashindwa kuelewa kwa nini mtu anafikia hatua hiyo, ila sasa nimeelewa kwa nini watu hujitoa muhanga. Rais Magufuli anapita kila sehemu na kusalimia watu lakini hakuna wa kumgusa. Polisi mnahatarisha amani ya nchi.
Umesahau kuwa mwenyekiti wa NEC jana katoa ruhusa watu kupigwa mabomuNimeona video ya mgombea mwenza wa CHADEMA akipigwa mabomu kisa kusimama na kuwasalimia wananchi. Roho imeniuma sana. Nilikuwa nikiona watu wanajivisha mabomu na kwenda kulipua sehemu nilikuwa nashindwa kuelewa kwa nini mtu anafikia hatua hiyo, ila sasa nimeelewa kwa nini watu hujitoa muhanga. Rais Magufuli anapita kila sehemu na kusalimia watu lakini hakuna wa kumgusa. Polisi mnahatarisha amani ya nchi.