Uchaguzi 2020 Msafara wa Mgombea Mwenza CHADEMA, Salum Mwalimu wapigwa mabomu Ifakara

Mkurugenzi wa uchaguzi katutangazia jana kuwa sasa tutakuwa tunapigwa mabomu. Ni amri kutoka juu
 
jamani tuwe wakweli sasa mtu unapita katikati ya mitaa ya mji kabisa unafunga mtaa unaanza kuhutubia watu gari zingine hazina pa kwenda maduka ya watu ghafla vibaka wanajaa milangni ukiambiwa toka unajaza vibaka maduka ya watu hutaki

Hii video ni ushahidi wa upuuzi wa Chadema unaendaje katikati ya mtaa na kufunga mtaa?
 
Kwa Sasa CDM hata wakiambiwa wastop kupiga kampeni, hakika naamini CCM na Magufuli tutawazika rasmi %100
 
Wananchi sasa hawayaogopi tena haya mabomu.
Zamani mlio tu, kila mtu analala chini, saa hizi wanasimama tu na kushabikia.

Tunakoelekea ni hatariiii! Tuhuma za polisi

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Chadema wameishiwa watu wanaenda kuvamia mitaa ya katikati ya mji yenye maduka na masoko kuzuia wengine wasitumie barabara hapo sehemu zenye shughuli nyingi za biashara ona hapo wanazuia shughuli za wananchi wengine
 
SASA MTU UMESHATAHADHARISHWA USIFANE KITU WEWE UNAFANYA UANTAKIWA UIGWE TU HAMNA NAMNA WAPIGWE TUUUU
Kajifunze kuandika halafu urudi jukwaani, mtaji wa CCM ni wajinga kama wewe, Magufuli mbona anasimama kusalimia wananchi na hapigwi mabomu?
 
Kajifunze kuandika halafu urudi jukwaani, mtaji wa CCM ni wajinga kama wewe, Magufuli mbona anasimama kusalimia wananchi na hapigwi mabomu?
HUYO jpm haendi nje ya ratiba na huwaga sibishani na watoto waliotungwa mimba na mama zao kwa kubakwa bar kama wewe huwezi kuwana akili timamu akiliyako inanuka pombe tu
 
Kwa video hii, Mwalimu kawa muungwana sana, otherwise hali ingechafuka. Polisi wameonyesha tena dhahiri uwezo wao mdogo mno katika kutumia bongo zao.

Haya ni madhara ya kuajiri polisi kwa kigezo cha urefu au watu sio na makovu
 
HUYO jpm haendi nje ya ratiba na huwaga sibishani na watoto waliotungwa mimba na mama zao kwa kubakwa bar kama wewe huwezi kuwana akili timamu akiliyako inanuka pombe tu
Wewe mbwa mwenyewe una mimba umetungwa ndio maana hujielewi pumbavu, Kazuramimba, Kigoma msafara wa Lissu ulizuiwa sababu Rais alikuwa anafanya mkutano kinyume cha ratiba. WAPUMBAVU KAMA WEWE NDIO MTAJI WA CCM
 
A
Anaposalimia Magufuli huwa anasimama chochoroni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…