Msafara wa Mwigulu Nchemba. Je, Kipindi Cha Magufuli ungeyafanya Haya?

Surely they shall be severe consequences for this
 
Kwa aina hii ya siasa za nchi yetu kupiga hatua labda marejeo ya kristo.

Tulikua na Imani na kikwete akatuacha solemba

Tukawa na Imani na magufuli ndio ikawa ilivyo kua.

Sasa tunaimani na samia Ila kabla ya Imani haijawa Imani tumesha hamia kwa mwigulu.

Mungu atushikilie huruma tu!
 
Wakulaumiwa hapo ni Mamlaka za Teuzi. Pili hapo mazuzu yaliojaziwa mafuta kwenye usafiri wao. Kesho utawakuta hao hao wakilalamikia tozo kwenye miamala.
 
Mtapeleka wangapi Ubalozini? Mh Mstaafu PM Pinda aliposema wanawaza 2025 sikumuelewa sasa ndio naanza kuelewa
Huyu ni muda tu asipokuwa makini atarudi kulekule alikompeleka JPM kwani alimpa likizo.
Ila kwa likizo hii ndo itakuwa ngumu kwake kwani akumbuke ameshachafuka na yy sasa anachokifanya ni kumwonyesha Mama kuwa hajachafuka ndo maana ya ziara yake.
 
Huyu ni muda tu asipokuwa makini atarudi kulekule alikompeleka JPM kwani alimpa likizo.
Ila kwa likizo hii ndo itakuwa ngumu kwake kwani akumbuke ameshachafuka na yy sasa anachokifanya ni kumwonyesha Mama kuwa hajachafuka ndo maana ya ziara yake.
Kwa kutapanya fedha za walipaTozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…