Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.

Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.

Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa". Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu.

SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD. Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.

Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa. Mimi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.

Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018. Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.

January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao. February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba. Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja. Na wapo kwenye process za ndoa kanisani. Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.

The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna. Alikaa siku mbili haongei na John. Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.

1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mingi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.

2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".

3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"

4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake. Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.

Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA.

Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi. John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe. John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa. Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.

Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.

#YNWA
Siijasoma yote ila mwanao ka anataka kuharibu future mwambie aoe
 
Kama mahusiano yenu (wewe na mwana) yaliyojengwa kwa miaka yanatatizwa kupata jibu hii ngoma naona kiazi cha moto.....
Nafikiri Hapo dada anachohitaji ni status ya ndoa na sio maisha ya ndoa.....(MWAMBA ASANUKE NA HILI)

Malezi ya mtoto n jambo la msingi sana KABALI NYINGINE

Mwamba anaenda kuchukua piechidi ili apate nn zaidi?
Je hawezi kwenda na familia nje ya nchi ?kama kuna uwezekano bora wang'oe wote japo manzi tayari anaonyesha anamipango mbadala ....
Kuna taarifa nyingi wanazificha hasa
huyo maisha ya mwana na manzi.......

Kama mastazi mbili zinahangaika kupata jibu mie wa elimu ngumbaru👣...🏹
 
Mi nashauri aende yule kama anapenda shule kama mimi basi,amepata chance asiichezee, ajaribu kumwambia binti hali halisi asipoelewa atumie na akili zake.
Kiukweli ni changamoto na inauma kuacha familia lakini inapobidi unafanya yaani kama vile afande aendavyo mission
Nimewahi kupitia hiyo situation na pale mr alivosema et asiende kwa ajili ya familia nilimtia moyo nkamwambia we nenda tu,ila yataka moyo jamani
 
Mi Mzee baba lazima niende.

Yaani hata wafufuke wazazi wanikataze kwenda ila kwenda kwangu kusoma ni LAZIMA.

Nimesotea hii nafasi tokea 2020 imekuja kutiki 2022 halafu atokee mtu anikataze, aisee SITOMUELEWA KWA LOLOTEE.

John ni mshikaji wangu Tena anatimiza miaka 33 mwaka huu.

Nimemwambia apige chini ndoa tupande ndege tukasome.

Mchumba na mapenzi yapo tu ila kusoma Kunategemea umri na majukumu(finance).

Kwahiyo kipindi hiki cha majukumu kidogo na umri wa ujana basi TUKAMALIZIE PhD kabisaa ili tumalizane na mambo ya Shule ibaki KUTAFUTA HELA tu.

#YNWA
Ila kuna watu wanaoa wanawake ila ni mabogus imagine kwa jinsi anavyomwambia hivi hata akienda huko atakuwa na amani?
Ameshapata mtoto anataka nini kwa mfano?mwanamke mwenye akili angemtia moyo na kama ana mahisia yake angesolve kiutu uzima sasa ni mameno gani hayo anamwambia?
 
Mi Mzee baba lazima niende.

Yaani hata wafufuke wazazi wanikataze kwenda ila kwenda kwangu kusoma ni LAZIMA.

Nimesotea hii nafasi tokea 2020 imekuja kutiki 2022 halafu atokee mtu anikataze, aisee SITOMUELEWA KWA LOLOTEE.

John ni mshikaji wangu Tena anatimiza miaka 33 mwaka huu.

Nimemwambia apige chini ndoa tupande ndege tukasome.

Mchumba na mapenzi yapo tu ila kusoma Kunategemea umri na majukumu(finance).

Kwahiyo kipindi hiki cha majukumu kidogo na umri wa ujana basi TUKAMALIZIE PhD kabisaa ili tumalizane na mambo ya Shule ibaki KUTAFUTA HELA tu.

#YNWA
Utaanza kutafuta Hela baada ya kupata hiyo PHD?? Wewe kweli mwehu..
 
Nilivyosoma hivyo point ya Mchumba namba moja ni kuwa huyo mchumba bichwa ni box na huyo msela John hana msimamo, hana uhakika na anachokitaka.

Aache ufala, mwambie aende akalambe phd yake
 
PhD scholarships nyingi ukiwa umeoa ni ruksa kwenda na nkeo.... afunge ndoa ya bomani chap waondoke
 
Usichofahamu ni kuwa your wife is always there for you...

Kukuletea na kukulelea watoto, kulea your feelings and emotions, hata ukiyumba is there for you... sasa kwa nini usimshirikishe???

Na kibaya zaidi siku ukifa ndiyo anatarajiwa kubeba mikoba yako kuongoza familia...

Kumtenga ni short sided thinking brother...
Kabla yake hizo feeling na emotion alizilea Nani...?

Na Alie kudanganya nitawahi kufa kabla yake Nani...?
 
Wewe kweli mwehu..
Asante..
Ila karibu SHAMBANI.
Tumeanza ku export Parachichi Ulaya.
Kilo ilifungua kwa elfu 2.

Huyu Mwehu anazo mpaka za kukulea wewe na familia yako yotee.
IMG_20220329_165214_462.jpg


Uwe unauliza kabla hujamfanyia mtu abuse.

Na kengine unapokuwa unajibu hoja yoyote STOP USING PESSIMISM WORDS.

Nilianza kutafuta hela tokea nasoma A'Level.
Yaani natoka class kusoma PCB halafu naingia kitaa kutafuta za kudunduliza ili nisongeshe life la shule.
Ukute hata Shule ulikuwa unapiga hodi mlangoni Kwa baba akupe ya nauli.
Wakati wewe unamshawishi mama akupe ya tuition, mi nilikua nashawishi raia mtaani (wateja) wanunue bidhaa zangu.

Hivi hukusoma na ukaelewa nimeandika "IBAKI KUTAFUTA HELA TU"
Kwamba hukuelewa hii statement na hasa terminology IBAKI?

#YNWA
 
Kama mahusiano yenu (wewe na mwana) yaliyojengwa kwa miaka yanatatizwa kupata jibu hii ngoma naona kiazi cha moto.....
Nafikiri Hapo dada anachohitaji ni status ya ndoa na sio maisha ya ndoa.....(MWAMBA ASANUKE NA HILI)

Malezi ya mtoto n jambo la msingi sana KABALI NYINGINE

Mwamba anaenda kuchukua piechidi ili apate nn zaidi?
Je hawezi kwenda na familia nje ya nchi ?kama kuna uwezekano bora wang'oe wote japo manzi tayari anaonyesha anamipango mbadala ....
Kuna taarifa nyingi wanazificha hasa
huyo maisha ya mwana na manzi.......

Kama mastazi mbili zinahangaika kupata jibu mie wa elimu ngumbaru👣...🏹
Nilishamjibu PIGA NDOA CHINI TWENDE SHULE.

Infact mi nilivyopokea tu barua nilienda KUBEMBELEZA fasta kwa mkurugenzi aisaini.
Na sasa nasubiri watume hizo documents Nipande ndege.

Ila mwamba naona kama anafeli kisa mapenzi.
Ila alichosahau na nilichomkumbusha ni kwamba ana miaka 33, tukienda na tukarudi atakua na miaka 36.

Sasa Kwa miaka 36 atakua kqpoteza nini? Mbona muda wa ndoa mpya (kama hii ataikuta haipo) utakuwepo?

#YNWA
 
Mpaka sasa John ni kiumbe bwege fulani hivi..sio mwanaume wa kujisimamia. mtu mzima wa kiume unashindwa kufanya decision unakuja kutafuta ushauri humu?? Pumbafu narudia tena pumbavuuu
 
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.

Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.

Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa". Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu.

SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD. Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.

Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa. Mimi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.

Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018. Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.

January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao. February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba. Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja. Na wapo kwenye process za ndoa kanisani. Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.

The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna. Alikaa siku mbili haongei na John. Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.

1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mingi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.

2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".

3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"

4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake. Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.

Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA.

Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi. John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe. John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa. Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.

Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.

#YNWA
JOHN aende kusoma aachane na ujinga.

1. Nimekuzalisha.

2. Naenda kuongeza uwezekano wa kuongeza kipato.

3. Nimeshakutolea mahari.

N.k
 
Back
Top Bottom