Uchaguzi 2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

Ndio maana tunasema tume hii sio huru na uchaguzi huu hauwezi kuwa huru ba haki maana tume inaonesha upendeleo wa wazi!
Kama tume ingekuwa huru na inatenda haki basi JPM angekuwa mtu wa kwanza kuadhibiwa kwa kukiuka sheria za uchaguzi wazi wazi!
 
Hivi ukishateuliwa unatakiwa kuteuliwa tena?
 
Kwani Mrema kasimamisha mgombea yeyote mbona hata hizo kanuni hamzisomi mnaamka na mihemuko tu.
Sheria inazungumzia Chama fulani kuungana na cha kingine,hazisemi kuhusu kama kimesimamisha mgombea au la nyie punguan wahed!
Mnatafuta vijisababu vya kuhalalisha ufedhuli wenu,acheni upopoma!Period!
 
Haya ni matumizi mabaya ya bongo zenu!Hivi mnajitambua mnavyotetea ujinga?Hoja hapa ni kusafiri au kupanda jukwaani?Acheni kujifanya mazwazwa,period!
Tatizo unawaza vitu vyako binafsi nje ya tuhuma.
Kasome tuhuma kwanza ndio utajua nani huyo zwazwa ambae hatumii ubongo
 
Mbona Mrema pia alipanda 2015, haikuwa noma leo imakuwaje?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ameshajibu kabla ya kupokea barua kuwa ni matashi yake. watafute na jengine
 
umeandika kirefuuuuu umeacha kusoma katiba ya ACT WAZALENDO
View attachment 1607446
Katiba ya ACT Wazalendo inasimamiwa na wanachama wake kwenye vikao vyao.

Mimi si mwanachama wa ACT Wazalendo.

Wakikubali kuivunja katiba yao kwa interests zao, ilimradi hawajavunja katiba ya nchi, mimi sina tatizo na hilo.

Katiba ya ACT Wazalendo inaweza kusema wanachama wote wavae mashati ya rangi ya zambarau, halafu wakavaa mashati ya rangi nyeupe, nyekundu na bluu kama CHADEMA.Hilo halinihusu mimi.Kwa sababu ni katiba waliyojiwekea wenyewe na mimi si mwanachama wao.

Ila, ukitaka kugusa uhuru wao uliotolewa na katiba ya nchi, hilo ni jambo tofauti.
 
Mbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Mrema aliliweka hili sawa tangu mwanzo na hana mgombea urais tofauti na Magufuli.
 
Mrema hajapanda hata jukwaa kuhutubia!
Rais alimfuata kumsalimia, Maalim katika zake Zanzibar , kapanda jukwaa na kumuombea kura Lisu!

Au mnata kurudisha Mpira kwapani?
 
Mrema hana mgombea urais
Hawa bendera fuata upepo wanajua hilo? Hawajui kwamba ukisimamisha mgombea wa urais halafu ukaenda kumpigia kampeni mgombea wa chama kingine ni sawa na kufanya coalitions.
 
Kwa kosa la kupanda Jukwaa moja na mgombea wa chama kingine anyimwe Urais wa Znz iwe funzo kwake.
 
Huyu Msajili Mjinga sana
 
mnawashwawashwa wanaume ngoja tuwakune oktoba 28
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…