Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
acheni tu kifo kiwepo. kinaleta uwiano wa maisha kwa watu wote.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.
View attachment 3178639
RIP msajili wa vyamaMsimuue Ni YEYE 🐼
Atajiua mwenyewe (kisiasa).Msimuue Ni YEYE 🐼
Nae mlugaluga ni mwanasm!Lucas wewe siasa umeanza juzi tu
1980s baadhi ya vijana walienda Mbowe Hotel Kwa akina Dj Saydo na Kalikali kuangalia tu mbwembwe za Freeman alivyokuwa anafunga " mguu wa kuku" chini ya kuwapa
Wewe ulikuwa bado vinenani mwa mlugaluga mmoja mashambani Vwawa huko 😂😂
#Tendwa atishia kukifuta chadema# kwahiyo mbona ameshindwa kutishia kukifuta kifo chake? Au alijisahau au aliishiwa peni ya wino ya kukifuta kifo?Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.
View attachment 3178639
Kifo ni kifo tu#Tendwa atishia kukifuta chadema# kwahiyo mbona ameshindwa kutishia kukifuta kifo chake? Au alijisahau au aliishiwa peni ya wino ya kukifuta kifo?
Habari ni ya msiba , ila jf kuna watu mna mambo mengi sana , nimejikuta nacheka kijinga pamoja na masikitiko ya msiba .RIP, msajili John Tendwa
Kila mtu ataTENDWA.
Acheni kumpa sifa za kijinga#Tendwa atishia kukifuta chadema#Dah so sad ...
Still one of the best party registar tuliewahi kuwa nae .
RIP mzee Tendwa.
To him we shall all return.....
Hata Shetani ni jirani yake.Wewe kila mtu ni jirani yako
#Tendwa atishia kukifuta Chadema#Alijitahidi sana kuwa fair wakati akiwa msajili wa vyama. Pia wakati ule viongozi walau walikuwa na hofu ya Mungu.
Mungu amjalie amani na pumziko miongoni mwa wateule wake
#Tendwa atishia kukifuta Chadema#Kifo ni kifo tu
Acha ujinga wako hapa weweTunaomba ikiwezekana azikw.. Leo asije akafufuka Tena
Alikuwa Mtenda haki?Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.
View attachment 3178639
Huwezi ukaelewa kwa sababu bado hujakomaa kiakili.I
.a
Imani ipi aliilinda?
Ndio.Alikuwa Mtenda haki?