chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Mama Ndungai amezingua na wewe mzingue. Usicheke na watu kama wakina Ndungai kwani ni wanafki sana. Kuna wakina Ndungai wengi sana sasahivi wapo mimacho kodo wanasikilizia uta handle vipi hii issue. Waonyeshe wewe si wamchezomchezo otherwise watakufanya wewe bibiWalidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
Saizi wamebaki kuroga na kuombea kifo,Mungu atamlinda Mama.Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
Nadhani simu ya ndugayembe itakua ilijaa vitisho vya wasiojulikana 😀😀😃 , maana alivyoomba radhi kinyonge bila shaka alifikwa na kitu kizito kichwaniTimu mwendazake kwisha habari yake maskini!
Wewe kwa akili zako za kinyumbu unaona ndivyo anafanya?Sisi wazalendo tusio na njaa hatuna upande,
kama nikweli Samia anawakopea wazanzibari hilo hatukubali hata kama limesemwa na yule mpuuzi boss wa mjengoni
Sio suala rahisi kujiuzulu kama ulivyoandika na unavyoamini.Ni mpuuzintu anawezakubaliana na yanayoendelea.
Viongozi hovyo namna hizi wanatakiwa wajiuzulu nyadhifa zao na ndio demokrasia inakua.
Angalia mataifa yaliyokomaa wanajiuzulu mara moja haijalishi uko nafasi gani.
Kama walituaminisha tozo zitajenga madarasa mbona wanaenda kopa kimya kimya? Miezi 9 tu wameishakopa 6.2 tril.Wewe kwa akili zako za kinyumbu unaona ndivyo anafanya?
Nikikuita mbumbumbu ntakuwa nimekosea? Ingekuwa kimya kimya wewe ungejua? Kwanza najichosha kukujibuKama walituaminisha tozo zitajenga madarasa mbona wanaenda kopa kimya kimya? Miezi 9 tu wameishakopa 6.2 tril.
Kimyakimya kwa maana haijulikani zimetumika wapiNikikuita mbumbumbu ntakuwa nimekosea? Ingekuwa kimya kimya wewe ungejua? Kwanza najichosha kukujibu
Huna uwezo wa. ku argue na mimi pimbi wwewNikikuita mbumbumbu ntakuwa nimekosea? Ingekuwa kimya kimya wewe ungejua? Kwanza najichosha kukujibu
Mna mihemko ya kitoto hata hamjui mnachoshangilia, hao wote bado ni CCM na siku zote wataendelea kulinda maslahi yao.
Wewe usije kurupuka kuikosoa serikali ukadhani ndio utasikilizwa, nawe utaonekana mpiga kelele tu, akili ndogo hata hujui madhara ya unachoshangilia.
Ndio maana nakuomba samia mwenyeheri, unisamehe kama ulivyowasamee wafungwa December 31Nimekosa mimi, nimekosa sana nimekosa mimi.
Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
MNAWABEBA SANA WALE WATU.!Wanalalamikia kodi wanayokusanya kwenda kuiendeleza Zanzibar kama vile sio sehemu ya Muungano. Wanadhani ipo salama kwa kuiendekeza hoja dhaifu ya Utanganyika!.
CCM ni watu wanaounganishwa na chama chenye uzoefu mkubwa sana wa siasa. Wanajua namna ya kukaa pamoja baada ya kuwa na mpasuko.
Ni sawa na akili za fisi kutegemea siku moja utokee mpasuko mkubwa ndani ya chama. Sio kama TLP au NCCR, kile ni chama chenye misingi imara sana.
Wanayo rejea ya uongozi wa Mwalimu Nyerere. Viongozi wanaoibuka wanajikuta wakiwa na viwango vya kufikia kimaadili na hata kibusara na hekima...nidhamu ya ccm inatokana mwenyekiti kuwa amiri jeshi mkuu, na kuweza kutumia mamlaka yake kuwadhibiti wanaotofautiana Nate.
..kwa hiyo nidhamu ndani ya chama inapanda au kushuka kulingana na kiwango cha utayari wa mwenyekiti kutumia dola kudhibiti wanachama.