We jamaa una akili Sana. Wajinga wanasema eti ndani ya ccm kuna nidhamu..nidhamu ya ccm inatokana mwenyekiti kuwa amiri jeshi mkuu, na kuweza kutumia mamlaka yake kuwadhibiti wanaotofautiana Nate.
..kwa hiyo nidhamu ndani ya chama inapanda au kushuka kulingana na kiwango cha utayari wa mwenyekiti kutumia dola kudhibiti wanachama.
The Gang imekula kwaoWalidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
Usitutoe kwenye reli. Sukuma gang wamepwelepweta na kutepeta.mleta mada ,inaonekana ni mzanzbar,na Kama ni mtz basi bado ni mchanga Sana kwenye siasa za hapa Tanzania,unaijua vizuri ccm!!?,muulize lowasa,sumaye ,dr.slaa,au waulize bavicha lowasa aliwafanya nn!!... Wajuvi wa Mambo wanajua nn kinaendelea na misheni ikoje ndani ya ccm. Huwa nawaambia siasa za ccm ,hata bavicha hawazijui ,pamoja na ufundi wao wa kupiga maneno!!
Nadhani simu ya ndugayembe itakua ilijaa vitisho vya wasiojulikana 😀😀😃 , maana alivyoomba radhi kinyonge bila shaka alifikwa na kitu kizito kichwani
Wanayo rejea ya uongozi wa Mwalimu Nyerere. Viongozi wanaoibuka wanajikuta wakiwa na viwango vya kufikia kimaadili na hata kibusara na hekima.
Kumbe mzanzibar si mtz?!!!...mleta mada ,inaonekana ni mzanzbar,na Kama ni mtz basi bado ni mchanga Sana kwenye siasa za hapa Tanzania,unaijua vizuri ccm!!?,muulize lowasa,sumaye ,dr.slaa,au waulize bavicha lowasa aliwafanya nn!!... Wajuvi wa Mambo wanajua nn kinaendelea na misheni ikoje ndani ya ccm. Huwa nawaambia siasa za ccm ,hata bavicha hawazijui ,pamoja na ufundi wao wa kupiga maneno!!
Hata hao hawana free room ya kuongea...CCM ni chama mafia sana...hakuna anayemkumbuka Mwalimu Nyerere ndani ya ccm, labda Warioba, Pinda, na Butiku.
..basically, chama kimoja wachumia tumbo na kimepoteza kabisa ule msingi wa kiitikadi uliokuwepo awamu ya kwanza.
Legacy ya Mwendawazimu chali..!Poleni sana wazee wa legacy.
Mwendakuzimu hoiiii! Legacy imezikwa rasmi leoLegacy ya Mwendawazimu chali..!
Kwa kweli Majaliwa na Ndugai lao moja.mkuu umewaza kitoto sana, wale ni watu wazima wameamua kucheza mind game kuwapoteza watu ili waendelee kusuka mipango yao kimya kimya, kwa sasa ccm haitakiwi kuwaamini hawa watu maana wana ajenda zao.
Wanayo rejea ya uongozi wa Mwalimu Nyerere. Viongozi wanaoibuka wanajikuta wakiwa na viwango vya kufikia kimaadili na hata kibusara na hekima.
Dadadeq..hakuna cha mita za umeme wala kukatika...kimyaaaaaa.Ndembe ndebe....ha ha ha ha hahaha 😆 🤣 😄 😜
Acha tuone sasa plan B ”kimya kimya” ya Sukuma GANG, kama watatoboa huko CCM, hii yakupuyanga wamezibitiwa.Mwendakuzimu hoiiii! Legacy imezikwa rasmi leo
Yawezekana Dhaifu kaomba radhi baada ya kuona matelefoni kamruka na kuanza kumtaja Mungu?Acha tuone sasa plan B ”kimya kimya” ya Sukuma GANG, kama watatoboa huko CCM, hii yakupuyanga wamezibitiwa.
Ila hotuba ya Majaliwa na press ya DHAIFU inaononesha hawa lao moja na wamejipanga.
[emoji38][emoji38][emoji38]Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
Kwakweli usamehewe,maana umetubu katika daraja la juu [emoji28][emoji28][emoji28]Nimekosa mimi, nimekosa sana nimekosa mimi.
Ukishaona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.
Kwenye hili mtu asipoona tena umuhimu wa katiba mpya basi huyo mtu ni maiti inayotembea.