Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Martin Luther alifeli sababu alishindwa kuwaunganisha wamarekani weusi wote.Hana tofauti na malcom x wote walfeli.Lakini pac na notorious walikua smart guys sema tu walizaliwa kwenye hoods za watu wa kawaida kimapatoNaamini Martin Luther king , hakuwa smart kama 2pac , ni vile tu pac alizaliwa na kuishi ghetto
Na ukichanganya mziki na Siasa maisha yanakua mtafaruku, nilifuatilia historia ya Wu Tang Clan muda fulani nikajifunza kituMartin Luther alifeli sababu alishindwa kuwaunganisha wamarekani weusi wote.Hana tofauti na malcom x wote walfeli.Lakini pac na notorious walikua smart guys sema tu walizaliwa kwenye hoods za watu wa kawaida kimapato
Ebu tujuze kidogo mkuu kuhusu hiloNa ukichanganya mziki na Siasa maisha yanakua mtafaruku, nilifuatilia historia ya Wu Tang Clan muda fulani nikajifunza kitu
Uliambiwa nyimbo za kidunia ni za Mungu?,au mnapenda kubishana bila sababu za msingi?,amefariki kwenye stej anaimba mambo ya duniani,hapo watu wamevaa uchi 99,%,walevi wa pombe sigara humo,wanao zini,kubambiana humo yaani kila aina ya uchafu huwa inapatikana humo,afu unabisha nn Sasa?Mlikua wote pindi anamuabudu Shetani?
Wewe endelea kunibusu tu Ila nani aliekwambia Sigara inalewesha? Ushawahi kubambiwa ukiwa humo kumbe unajua yote hayo? Wee kumbe we muhudhuliaje mzuri hivyo aisee? Nikubambie?Uliambiwa nyimbo za kidunia ni za Mungu?,au mnapenda kubishana bila sababu za msingi?,amefariki kwenye stej anaimba mambo ya duniani,happy watu wamevaa uchi 99,%,walevi wa pombe sigara humo,wanao zini,kubambiana humo yaani kila aina ya uchafu huwa inapatikana humo,afu unabisha nn Sasa?
Hamna Cha kufafanua,mtu mzima haambiwi ona wakati anamacho,amefia wapi?,alikuwa anaimba nyimbo gani?Zina mwabudu Nani?alikuwa anaishu maisha gani kabla?Ebu fafanua mkuu
Mkuu unatutisha ujue maana kuna maisha baada ya kifoHamna Cha kufafanua,mtu mzima haambiwi ona wakati anamacho,amefia wapi?,alikuwa anaimba nyimbo gani?Zina mwabudu Nani?alikuwa anaishu maisha gani kabla?
Sigara pori mkuu inaleweshaWewe endelea kunibusu tu Ila nani aliekwambia Sigara inalewesha? Ushawahi kubambiwa ukiwa humo kumbe unajua yote hayo? Wee kumbe we muhudhuliaje mzuri hivyo aisee? Nikubambie?
Mkuu jamaa nilijifunza kitu kutoka kwao ukiwafuatilia na we utajifunza kitu, Ila niseme ukichanganya muziki na Siasa mwisho wake ni mtafaruku baki na kimoja, pac nakumbuka alikua anapendwa hadi na rais wa kipindi hicho na aliitwa ikulu akaenda kunywa chai jamaa alivyotoka ikulu kaenda kutengeneza ngoma kamdiss rais wa nchi sio kumdiss tu na kumtukana juu, anyway politics n music ni vitu tofautiEbu tujuze kidogo mkuu kuhusu hilo
Hata Kama haileweshi,Kuna kitabu chochote Cha dini inayo mwamini Mungu wamehalalisha sigara?hata Kama mtu ulikuwa una mkubali ila Kuna mda ukweli usemwe wengine wajifunze.Wewe endelea kunibusu tu Ila nani aliekwambia Sigara inalewesha? Ushawahi kubambiwa ukiwa humo kumbe unajua yote hayo? Wee kumbe we muhudhuliaje mzuri hivyo aisee? Nikubambie?
Ile yenye vipunje punje vingiii vigumu vigumu ile wanaoipembua kabla ya kuiweka kwenye karatasi ya kaki au unazungumzia ipi mkuu?Sigara pori mkuu inalewesha
Nibusu tu Ila nikuulize mrembo we ni dini gani muislamu si ndio?Hata Kama haileweshi,Kuna kitabu chochote Cha dini inayo mwamini Mungu wamehalalisha sigara?hata Kama mtu ulikuwa una mkubali ila Kuna mda ukweli usemwe wengine wajifunze.
Sikutishi kinga ni Bora kulikon tiba,tukae tayari hatujui siku Wala saa.ukijufanya unaendekeza sanaaa ujana my brother itakula kwako,vijana saizi wanakufa kwa speedMkuu unatutisha ujue maana kuna maisha baada ya kifo
Ohh my God!Taarifa zilizo thibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia.
Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:👉
👉 Taarifa za kina zaidi, kuhusiana na chanzo Cha kifo bado hazijajulikana. Zaidi ya kusemekana ni ajali tu.
Miongoni mwa kazi zake zilizo vuma ni goat, super star, Mr big flexa, ma gang na nyinginezo.
Mwenyezi MUNGU, aipumzishe roho ya marehemu, mahali pema🙏🙏.
View attachment 2546885
View attachment 2546891
Hamna hakuna mkirsto anaekatazwa kwenda kuruka majoka labda wewe ni msabato maana hata mashahidi ya Yehova wanaenda kuruka majokaMKRISTO.
Nakumbuka nimekaa zangu sehemu dada mmoja akanifuata akaniambia kijana naona una kitu naomba kuongea na wewe, yaan nafsi yangu inanituma kuzungumza na wewe, nilipojaribu kumdadisi yule dada kumbe lengo lake ananihitaji anitengenezee mazingira kutokana na muonekano wangu eti niwe pastor wa mchongo, nikasema whaaat umesemaje?Sikutishi kinga ni Bora kulikon tiba,tukae tayari hatujui siku Wala saa.ukijufanya unaendekeza sanaaa ujana my brother itakula kwako,vijana saizi wanakufa kwa speed
Labda, but i dont think mda wa kazi apate drug tenaPossibly inaweza kuwa drug
Kuzindua hakunaga muda mkuu, watu wanazindua tu iwe kabla ya au baada ya au wakati wa ile kitu haina muda maalumLabda, but i dont think mda wa kazi apate drug tena
Wanaenda sana tu hadi Qatar huko Sharjah kuna night club Saudia Pakistan kwenye uislamu mwingi pia night club zipo nani kakwambia hua hawaendi? Unanibusu?Kwan hamna waislam wanao enda huko,au unataka kubishana tu?
Kwao!? Wapi!!?Kabisa mkuu, tulienda hiyo show na x wife wangu huko kwao.
Tulikua likizo na ni mpenda masebene tukaenda.
Badae ndio yakatokea yaliyotokea jukwaani