Msanii kutoka Hong Kong, ndugu Jackie Chan apanga kutoacha urithi kwa watoto wake. Je, maamuzi haya magumu yanatuma ujumbe gani kwa wazazi wa Afrika?

Zingatia maoni ya mdau huyo sio kila unachotangaziwa ndivyo kilivyo open ur mind think about other side binafsi sikubal ni uongo
Naam sio kila kitu kinachoandikwa katika media kina uhalisia mengine yapo kwaajili ya kuuza habari tu na kumuongezea mtu umaarufu
 
Mimi tu lakionea mwanangu ana jumbo account ina hela nzuri, unadhani account ya mtoto wa Jack ina sh ngapi hata asipopewa urithi
 
hamna shida dogo maisha kwa bahati mbaya yakimpiga ataingia na yeye kwenye hizo charities
atafaidika na pesa za baba yake
 
Ni mpumbavu tu sasa si agawe akiwa hai akifa atajuaje kama zimegawiwa au ni roho mbaya tu
 
Usiamini kila kitu unachokisoma kwenye mainstream media, hakuna Binadamu wa kawaida akawa katili kiasi hicho kwa damu yake mwenyewe labda kama ni psychopath, ...
Kaulize kanisa katoliki nku a watu wameacha hosea huko
 
Sasa kama mwanae yuko BOT ya china au mtumishi wa serikalini ana haja gani ya kumpa urithi? Hata asipompa hafi njaa.
 
Urithi pekee wa mtoto ni elimu bora sio pesa.

Mpe malezi bora na elimu bora, inatosha.
Mfano mwanao mpeleke,

Primary: Feza boys
Secondary: Shaban Robert
Undergraduate: Oxford
Postgraduate: Havard

Unategemea atakufa na njaa huyo?

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu ana mfumo wake wa kulea,japo wanasema urithi pekee ni elimu:Mimi nasema ukimleta mtoto duniani kwa mapenzi yako basi mpe kila kitu chema maana hakuomba kuletwa.Akishindwa ashindwe yeye mwenyewe,kikubwa ni kwamba ulifanya yote na kumpa vyote km mzazi kwa moyo wako wote.

Charity begins at home.
 
Ninapingana na wewe kwa hili mkuu. Mtoto atafute pesa zake. Jaribu kusoma alichokiandika ndugu Mr Slim hapo chini.


Psychopath ndo wana mawazo kama hayo, kama hautaki mtoto wako ambaye ni damu yako arithi mali zako, unataka umwachie nani ukiondoka hapa Duniani? Au utazichoma moto kabla?
 
Asante
 
Nipende ku declare interest .
Wachaga wako vzr kuandaa watoto kujitegemea akiwa mkubwa atafute zake.
Huu upuuzi wa kunyolea ndevu home kijana akitamani UFE arithi ni ujinga
 
Nipende ku declare interest .
Wachaga wako vzr kuandaa watoto kujitegemea akiwa mkubwa atafute zake.
Huu upuuzi wa kunyolea ndevu home kijana akitamani UFE arithi ni ujinga
We're on the same boat. There's no way a parent should be proving everything to a child from his Infancy to maturity. We need to change
 
Why unapenda ku”misquote ?!”

Yani unakata comment ya mtu kiufupi kulingana na matakwa ya majibu yako?
=======
misquote: quote (a person or a piece of written or spoken text) inaccurately. For example: "the government insisted that the official had been misquoted"
======
Coach Slamah Hamad did I ever quote anyone inaccurately here on JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…