hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Naam sio kila kitu kinachoandikwa katika media kina uhalisia mengine yapo kwaajili ya kuuza habari tu na kumuongezea mtu umaarufuZingatia maoni ya mdau huyo sio kila unachotangaziwa ndivyo kilivyo open ur mind think about other side binafsi sikubal ni uongo