Oya nauliza Warumi amekufa?RIP warumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya nauliza Warumi amekufa?RIP warumi
mwambieni nasibu arudishe Pete ya nyoka, aje kwa Yesu aokolewe. yuko kwenye danger zone / periodMsanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe
Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo.
Nawatakiwa Asubuhi Njema
View attachment 2952828
Huku motoni na mbinguni hakuna masanii wa tajiri,wote tunawaita dhambi na memaMsanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe
Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo.
Nawatakiwa Asubuhi Njema
View attachment 2952828
kwani hayo ni mabaya? mtu anapewa taarifa zake za maisha ya mbele ili atengeneze wewe unaona ni vibaya? njooni kwa Yesu muokolewe!Hawawezi kutabili mazuri??
Mkuu mkumbushe Yule mchungaji mwambie Sasa Ni mwezi wa Sita huu.Inawezekana kabisa 🤣🤣
Mi siwaamini watu wanaotabiri Vifo kabisa..
Nasubiri ule utabiri wa Yule mchungaji alisema Dar itateketea mwezi wa Nne