C chipa GM JF-Expert Member Joined Jan 21, 2012 Posts 1,815 Reaction score 2,973 Jun 3, 2024 #141 Zamaulid said: RIP warumi Click to expand... Oya nauliza Warumi amekufa?
std7 JF-Expert Member Joined May 6, 2011 Posts 2,293 Reaction score 3,928 Jun 3, 2024 #142 Mbona awajafa sasa, na yule alietabiri dar itazama mbona haijazama.
Blood of Jesus JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 4,486 Reaction score 8,098 Jun 3, 2024 #143 DR Mambo Jambo said: Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo. Nawatakiwa Asubuhi Njema View attachment 2952828 Click to expand... mwambieni nasibu arudishe Pete ya nyoka, aje kwa Yesu aokolewe. yuko kwenye danger zone / period
DR Mambo Jambo said: Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo. Nawatakiwa Asubuhi Njema View attachment 2952828 Click to expand... mwambieni nasibu arudishe Pete ya nyoka, aje kwa Yesu aokolewe. yuko kwenye danger zone / period
Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 Jun 3, 2024 #144 DR Mambo Jambo said: Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo. Nawatakiwa Asubuhi Njema View attachment 2952828 Click to expand... Huku motoni na mbinguni hakuna masanii wa tajiri,wote tunawaita dhambi na mema
DR Mambo Jambo said: Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo. Nawatakiwa Asubuhi Njema View attachment 2952828 Click to expand... Huku motoni na mbinguni hakuna masanii wa tajiri,wote tunawaita dhambi na mema
Blood of Jesus JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 4,486 Reaction score 8,098 Jun 3, 2024 #145 Dejane said: Hawawezi kutabili mazuri?? Click to expand... kwani hayo ni mabaya? mtu anapewa taarifa zake za maisha ya mbele ili atengeneze wewe unaona ni vibaya? njooni kwa Yesu muokolewe! achaneni na mahela ya manyoka JESUS IS LORD & SAVIOR
Dejane said: Hawawezi kutabili mazuri?? Click to expand... kwani hayo ni mabaya? mtu anapewa taarifa zake za maisha ya mbele ili atengeneze wewe unaona ni vibaya? njooni kwa Yesu muokolewe! achaneni na mahela ya manyoka JESUS IS LORD & SAVIOR
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,697 Reaction score 15,497 Jun 3, 2024 #146 chipa GM said: Oya nauliza Warumi amekufa? Click to expand... ....kiongozi nami niliiona RIP Kwa mshikaji warumi
chipa GM said: Oya nauliza Warumi amekufa? Click to expand... ....kiongozi nami niliiona RIP Kwa mshikaji warumi
Saad30 JF-Expert Member Joined May 26, 2020 Posts 2,737 Reaction score 5,464 Jun 5, 2024 #147 DR Mambo Jambo said: Inawezekana kabisa 🤣🤣 Mi siwaamini watu wanaotabiri Vifo kabisa.. Nasubiri ule utabiri wa Yule mchungaji alisema Dar itateketea mwezi wa Nne Click to expand... Mkuu mkumbushe Yule mchungaji mwambie Sasa Ni mwezi wa Sita huu.
DR Mambo Jambo said: Inawezekana kabisa 🤣🤣 Mi siwaamini watu wanaotabiri Vifo kabisa.. Nasubiri ule utabiri wa Yule mchungaji alisema Dar itateketea mwezi wa Nne Click to expand... Mkuu mkumbushe Yule mchungaji mwambie Sasa Ni mwezi wa Sita huu.