Tetesi: Msanii wa Bongo Movie, Batuli lamkuta jambo, augua ghafla na kukimbizwa hospitalini



Ila umenielewa lakini? Hivyo ndivyo tunavyorogwa sie wanaume nanyi kina Mama.
 
Huyu Binti namfahamu, mimi ni mwalimu wake wa utangazaji, kiukweli amejaaliwa mashallah!, swali hao waume za watu yeye ndio huwa anawafuata huko majumbani mwao na kuwaiba au wao ndio wanamfuata?. Maana kiukweli, wakati mimi nikimfundisha utangazaji, alma nusra uzalendo ungenishinda, mimi usafiri wangu ulikuwa ni boda boda, binti ana vuta range sport!, sikuthubutu!.
P
 


confirmed.😀😀
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Anawaiba kwa kutumia nguvu za giza na uzuri wake, maana kusema kweli batuli kajaliwa uzuri wa asili, ila anapenda sana kuwaiba waume za watu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Anawaiba kwa kutumia nguvu za giza na uzuri wake, maana kusema kweli batuli kajaliwa uzuri wa asili, ila anapenda sana kuwaiba waume za watu
Hebu tuwe wakweli kiuukweli kabisa kwa uzuri kama huu,


Unahitaji kutumia nguvu zozote za giza kumfanya apende, au ni hao waume za watu ndio wanajichanganya wenyewe kwa kumtamani, maana hata mimi...
Sasa mtu atamani mwenyewe, amtokee, amikubaliwa na anamkuta binti hata kule kwenye ile idara, yuko gado, mtu anachanganyikiwa na kuamua kutelekeza familia!, kosa ni la nani?.
P
 
Huyu batuli mara ya kwanza nilimuona kwenye tangazo la bia nikajikuta nampenda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwakweli nakulaumu wewe mwalimu wake [emoji3][emoji3]

Ila kwakweli hapo hakuna Cha mganga wala Nini mtoto mshalaaah huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sasa mbona hawamuoi binamu? Ndio maana mnarogwa, mwenzenu anataman ndoa nyie mnataman mwil wake, wacha mrogwe kwanza


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi kwakweli nakulaumu wewe mwalimu wake [emoji3][emoji3]

Ila kwakweli hapo hakuna Cha mganga wala Nini mtoto mshalaaah huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Masigazi, mimi mwalimu wake unanilaumu kwa lipi badala ya kunipongeza?!, yaani just imagine mtu unafundisha kitu kama hiki

Yaani wewe ni mwalimu kazi yako ni kumfundisha tuu huyu dada utangazaji, halafu na wewe pia ni binaadamu, unamfundisha tuu huku unavumilia bila hata.. !
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…