Msekwa aongoza mjadala wa Katiba Mpya na Tanzania tunayoitaka

Msekwa aongoza mjadala wa Katiba Mpya na Tanzania tunayoitaka

kwa mtazamo wangu huyu mzee amezeeka anakimbizwa na vijana mbaya.wanamtesa wanamuonea poor him!anatia huruma anatamani kukimbia mdahalo.anapata hasira anajaribu kujicontrol
 
Hivi hana ugonjwa wa kuanguka au presha! Mimi nina wasiwasi maana naona mzee anapaniki.
 
huyu mzee kachoka inabidi akapunzike aache kujiabisha, haweze kwenda kwa kasi ya vijana!!!!!
 
Hivi kweli hawa wako serious au kwa bahati mbaya umetune kwenye Ze-Komedi bila wewe kujua..
Ahahahahahaaah eti ze komedi dah, me ngoja nikalale maana jenereta langu linaishiwa mafuta kwa kuangalia komedi.
 
HUYU MZEE ASIJE KUFIA HAPO MBELE.. WAMRUHUSU AKAPUMZIKE TU MANAKE HANA LOLOTE JIPYA

HIVI CCM HAWANA MTU NANAYEWEZA KUONGEA MAHALI AKAJENGA HOJA?:laugh:
 
Kwani kakodishwa au kaja mwenyewe? Kama amelipwa, anastahili hicho kitimoto...
 
Mwongozaji mwenza uwezo wake wa kuchambua mambo una walakini!
 
mzee wetu huyu,angetakiwa awe amelala nyumbani akila pensheni yake! hapa nasali asije akawa na presha akafa jukwaani!!!
Sijawai kuona mdahalo mbovu kama huu,umekosa muelekeo, atleast zitto alikuwepo kuwaongoza la kuongelea ,hi ndio kazi ya cdm (kuiongoza tz)
 
Waongozaji wameharibu mdahalo. Wamejikita zaidi kumuuliza Msekwa kama mwana CCM badala kujikita zaidi kwenye katiba tunayotaka na mchakato wakufikia katiba hiyo.
 
Msekwa kadanganya live,INDEPENDENT ELECTORAL COMMITEE OF KENYA HAIJAFANYA MADUDU,IMEUNDWA BAADA YA MADUDU!!!
 
Mmachinga anashauri tume ya katiba iwe na wawakilishi toka pande zote za kijamii.
 
kuna huyu mwananchi nasisitiza huu mchakato ujumuishe wananchi wote
 
mzee wetu huyu,angetakiwa awe amelala nyumbani akila pensheni yake! hapa nasali asije akawa na presha akafa jukwaani!!!
Sijawai kuona mdahalo mbovu kama huu,umekosa muelekeo, atleast zitto alikuwepo kuwaongoza la kuongelea ,hi ndio kazi ya cdm (kuiongoza tz)
Anasema pensheni ya nini wakati bado ana nguvu.
 
naamini wapo wanaotazama itv kwa sasa. Pamoja na kuwa uwezo mdogo wa mwenyekiti umepotosha mdahalo huu, lakn makam mwenyekit ndio tatizo zaid. kila unapomatikana mwongozo wa topic, anaongea na kupotosha mwelekeo.
 
Back
Top Bottom