Afsa kipenyo kwa merson? Acha kudharau kazi za watuKitenge uwa haropoki ropoki bila taarifa sahihi..Kumbuka jamaa ni afisa kipenyo...Tatizo la Msemaji wa Simba uwa unaongea bila kuwasili
Tatizo la Msemaji wa Simba uwa anaonge bila kuwasiliana na Ubongo wake mbona atayameza maneno yake mda si mrefu.....Kitenge uwa Haropoki ropoki bila taarifa sahihi...
Labda umeamua tu kutetea, sio viby kuisema vibaya ikikosea, shida ni uzushi wa taarifa, Kitenga na mkule waliwahi kuzusha kua Sven na Kagere wamepigana. Huku sio kukosoa. Leo hii kitenge anajua yeye ni ripota anaenda kusema Morrison ana ugomvi na Gomez. Kitenge yupo kwenye tasnia ya habari muda mrefu kwa nini asiwaulize Simba sababu za Morrison kuachwa. Wachezaji wa Simba wengi tu waliachwa kwa nini wampoint mtu mmoja?
Tafuteni hbari za ukweli mkizipata kosoeni xikiwa hajijengi sio mbaya. Kuna juzi hapa huyu huyu Morrison walimzushia kua ana busha. Sasa huko sio kuisema vibaya simba, ila ni kuitungia story ambayo haipo.
Ni kweli, na sasa wanataka kumtumia Barbara kwenye matangazo yao.Manara Kichwani hamna Kitu lakini Mabosi wenu GSM wamwemuacha Nugaz wanatangaza biashara zao na Manara.
Anzisheni uzi mwingine, hapa zijadiliwe hoja za Morison kutaka kuondoka.Sasa kama analiwa watu wasiseme ukweli,si ndiyo maisha aliyoyachagua mwenyewe?
Wewe huwajui hao lao moja kutengenezeana brand tuMpaka nimefikiria haji akienda wasafi huyo kanga moko atamhoji au atakimbia awaachie wengine!
[emoji1787][emoji1787] unawazimu weweHapana, nataka nikutafune wewe na nilazima nitimize azma yangu hii uko kwenye rada zangu kitambo tu.
Wazimu wangu utauona nikishamalizana na wewe, jiandae na kilainishi tu.[emoji1787][emoji1787] unawazimu wewe
Hongera kwa kuligundua hilo pia, mimi nilishalinote hiloManara akija Wasafi yeye anakula kona
Changamoto ya Manara ni moja tu hataki timu yake itajwe kwa mabaya, yeye kama Nani haswa. Tetesi ni moja zikazochagiza Raha ya mpira.Mashabiki wa Simba acheni kufanywa wajinga na Manara, jiulizeni kwanini Morison mechi ya mwisho na JKT hakucheza? Muulizeni kwanini Morison hakusafiri na kikosi kwenda Sudan. Ukweli ni kwamba Morison kasusa na kagoma kufanya mazoezi na poor discipline. Mpo kama mazezeta