Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesema ukweli baada ya kutolewa bocco Kuna kitu tunapataTUKIACHA USHABIKI PEMBENI, LAITI IBRAHIM AJIBU ANGEJITAMBUA AKAACHA UVIVU NA AKAJITUMA NA KUFANYA MAZOEZI YA ZIADAMWENYEWE SASA HIVI TUNGEKUWA TUNABISHANA HAPA KATI YA AJIBU NA CHAMA NANI ZAIDI. LAKINI KWA SASA AJIBU ANASUBIRI SANA KWA CHAMA KWANI HII MASHINE YA ZAMBIA NI HABARI NYINGINE. NA SIKU AMBAYO AUSEM ATAKUJA KUFANYA MAAMUZI MAGUMU YA KUWAPANGA OKWI, KAGERE, CHAMA NA DILUNGA KWA PAMOJA AKAMTUPA BOKO BENCHI NDIO SIKU MAAFA YATAKUWA YANAANZA LIGI KUU KWANI KUNA TIMU ZITAKULA HATA GOLI TANO.
Itakapo mfaa mwalimu Tutaona combination hii mkuu
Jana katupia 2. Moja kipa alikuwa mtazamaji tu kama watazamaji wengineMwamba wa Lusaka
Ile faulo kama Okwi alinisikia vile.. Amuachie Chama, Emma jana hakuwa vzr sanaJana katupia 2. Moja kipa alikuwa mtazamaji tu kama watazamaji wengine
Tunakusanya Point au Tunazoa?? 😕Kamwene mwamba wa Lusaka!!!
Kituo kinachofuata ni stend ya mabasi- shinyanga
Huku nikujizolea mapoint boss, kiporo cha tajiri hakichachi kinawekwa kwenye friji na Umeme haukatiki, na kamwe simu ya mo si ya akilimaliTunakusanya Point au Tunazoa?? 😕
😀😀 sasa hiv hawataki tuchezeHuku nikujizolea mapoint boss, kiporo cha tajiri hakichachi kinawekwa kwenye friji na Umeme haukatiki, na kamwe simu ya mo si ya akilimali
Ngoja tukamtafune bwana wake wa kwanza stand utd, then tutawapa nafasi ya kupumua sisi tutakuwa zetu uko uarabuni😀😀 sasa hiv hawataki tucheze
Ile faulo kama Okwi alinisikia vile.. Amuachie Chama, Emma jana hakuwa vzr sana
Simba wanapenda kupiga kona fupi ndio maana Okwi + Chama wanahusika sana... Ila kama ni ndefu kweli Zana apewe jukumu Hili la kumwaga maji ndani.Katika faulo na kona okwi hayuko vizuri... Mimi nashauri kina aachiwe ZANA KOULIBALY azimwage
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia natamani siku moja nione combi ya chama+ niyonzima. Haruna amerudi katika form lakini naona kocha hajamuamini bado pia aanze kumpa nafasi ndemla atampa vitu vizuri kuliko muzamirSimba wanapenda kupiga kona fupi ndio maana Okwi + Chama wanahusika sana... Ila kama ni ndefu kweli Zana apewe jukumu Hili la kumwaga maji ndani.
Mpaka Dada Bashite awasaidie ndio mpige kelele mjiniHuku nikujizolea mapoint boss, kiporo cha tajiri hakichachi kinawekwa kwenye friji na Umeme haukatiki, na kamwe simu ya mo si ya akilimali
Mnaongea maana Yanga haijafanya usajili wa maana..Bashite kawabeba mnajua Yusuph angekuwepo hakuna kenge yoyote anayeweza kupumua ..alimnunua Chirwa $100 K hakuna mchezaji Bongo aliyenunuliwa kwa bei hiyoPia natamani siku moja nione combi ya chama+ niyonzima. Haruna amerudi katika form lakini naona kocha hajamuamini bado pia aanze kumpa nafasi ndemla atampa vitu vizuri kuliko muzamir
Sent using Jamii Forums mobile app