DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mimi najua kupangilia hesabu sema mtoa Mada hameshindwa kusema anapokea mshahara kias gani na hajaweka mkoaMkuu, mpangilio wako mzuri ila hesabu imekuponyoka kidogo.
Pale juu kwenye vitu, tayari ni 240k, ukiweka na hiyo 10k ya kila siku, jumla ni 540k, weka sasa na hiyo 40k ya wife, 250k ya kwako binafsi!
Huwezi kuweka 50k kwaajili ya kodi kwa mwezi, nyumba gani hiyo?
Tayari una 830k, sasa weka na 300k ya kodi.
Take home ya kuanzia 1,000,000 ni reasonable kama unataka kuishi maisha hayo na kwa hesabu hiyo!
Kinyume chake, kila take home inafaa tu, ndio maana kuna level tofauti za kimaisha!
Elfu 50. Watoto book kumi kila mmoja. Mzazi book 20Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuwa je kiwango cha mshahara ninachokipata kulingana na majukumu niliyonayo kama kinanitosha, ni baba wa mke mmoja na watoto watatu ambao kati yao wawili wameshaanza shule. Sasa kila nikipokea mshahara let say tar 01 ikifika tar 03 huwa sina kitu mfukoni, nimefika mahala mpaka nahisi huenda nina changamoto katika matumizi yangu ya pesa lakini nikiangalia sioni popote pesa ilipoenda kwenye matumizi ambayo sio ya lazima.,
Kutokana kwamba watu ni wasiri sana haswa kwenye suala la kipato anachopata, imenibidi niulize huku kwamba atleast "Take Home Salary" inatakiwa isipungue kiasi gani kwa mwezi. Ili endapo labda kiasi niancholipwa ni chini ya hapo niparangane kutafuta ajira mahali pengine.
vijana inaonekana mnaogopa sana kuwahi kuzaa mkifikiri kwamba ukichelewa kuna afadhali ya kiuchumi . Ukichelewa madhara ni mengi sana, unakuta baba ana miaka 50 mtoto ana miaka 10, ni bora kuwahi uzoee kukimbizana na hizi budgets kabla ya uzee.Changamoto ni hapo nikuzaa mapema tu
Kweli mkuu.maana bado ujasaidia nyumbani kwenu watu wanasahu ilo..nimesoma comments zenu wakuu. Nilichoelewa ni kwamba ili niweze kujikimu vizuri kwa level ya kawaida atleast nikipata 2m take home salary ndio naweza sogeza haya maisha! Au nakosea wazee ???
Inategemeana na matumizi yako.nimesoma comments zenu wakuu. Nilichoelewa ni kwamba ili niweze kujikimu vizuri kwa level ya kawaida atleast nikipata 2m take home salary ndio naweza sogeza haya maisha! Au nakosea wazee ???
Cha muhimu kujipanga mkuu na idadi ya watoto ndo ina matter kwenye budget.vijana inaonekana mnaogopa sana kuwahi kuzaa mkifikiri kwamba ukichelewa kuna afadhali ya kiuchumi . Ukichelewa madhara ni mengi sana, unakuta baba ana miaka 50 mtoto ana miaka 10, ni bora kuwahi uzoee kukimbizana na hizi budgets kabla ya uzee.
Inategemeana na matumizi yako.
Kodi/unaishi kwako
Chakula+Mboga
Maji na umeme
Gari(mafuta na huduma nyingine)
Pombe kama ni mlevi
Mpango wa pembeni(Mchepuko)
Nauli ya kwenda kazini
Nauli za watoto kwenda shuleni
King'amuzi na simu
Ada za watoto kama wapo private
Mavazi ya familia
Na mahitaji mengine n.k
umepanga?mkuu take home ni 1,000,000 naishi arusha
Huku ni kujitesaKwa familia yako.. Unweza tumia 7,000 per day.. Pia punguza matumizi ya vitu visivyo vya lazima sana.. Mfano kula nyama kila mlo au maziwa au azamtv ya 23000 unaweza nunua cha 8000 wali kwa wıkı mara moja
Tanzania wafanyao kazi ni wachache sanaKuna wenzako hawana kazi ni saidia fundi tu per day anapata elfu 10 na nyumbani ana lundo la watu kama 8 hivi wanamuangalia yeye tu siku akiteguka nyonga familia inalala njaa