Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dipresheni muwe mnajikuna mnapofikiaKwahiyo mkuu sisi tunabet😭😭😭😭
Nimelia sana.
Ukitoa English hao watoto wa EM ni weupe kichwaniKitu muhimu ambacho mtoto wa kayumba mwenye ufahamu mzuri atazidiwa ni ile english speaking
Sure nilikua nawaogopa wakati tunaingia school A level ila nikaja kuwa nawakimbiza, na ile top list karibu yote pale school tulikuwa tunaperfom watoto wa kayumba,Ukitoa English hao watoto wa EM ni weupe kichwani
Shule zao zinakazana kumezesha watoto kingereza ambacho hata kukiandika hawakiwezi
Ukitaka ona maajabu fuatilia hawa watoto wa EM wakifika A-Level, wengi sana wanazungushaga zero
Si ulikataa kunifundisha urubani!! Mbaya sana wewe.Dipresheni muwe mnajikuna mnapofikia
Ule utajutia kuujua, siku hizi kuna basi linaitwa SPECIAL ONE, ni sawa tu na urubani.Si ulikataa kunifundisha urubani!! Mbaya sana wewe.
Wanamezeshwaga hao hawana kitu kichwaniSure nilikua nawaogopa wakati tunaingia school A level ila nikaja kuwa nawakimbiza, na ile top list karibu yote pale school tulikuwa tunaperfom watoto wa kayumba,
Kwahiyo nihamie kwenye basi?Ule utajutia kuujua, siku hizi kuna basi linaitwa SPECIAL ONE, ni sawa tu na urubani.
Pamoja na kulazimisha ufaulu. Ili shule ifanye vizuri wapate wanafunzi wengi zaidi. Yaani wanafunzi kwao sio wanafunzi kwa ajili ya kuwaelimisha bali ni wateja kwa ajili ya kujineemeshaUkitoa English hao watoto wa EM ni weupe kichwani
Shule zao zinakazana kumezesha watoto kingereza ambacho hata kukiandika hawakiwezi
Ukitaka ona maajabu fuatilia hawa watoto wa EM wakifika A-Level, wengi sana wanazungushaga zero
Mahesabu tu ukiyapanga vizuri kila kitu kinakaa sawa (usisahau self discipline kwenye matumizi ya pesa). Nakushauri usikope ili ulipe ada. Ada ipangilie kutoka kwenye kipato (mshahara wako). Kwa mfano ada ya mwaka 1,800,000. Kila robo mwaka utatoa 450,000. Ina maana kila mwezi katika mshahara wako utatenga 150,000 na kubakiwa na 650,000/= Sasa hapo chekecha mahesabu yako. Kama una kamradi ka ice-cream unakoweza kusave 150 kila mwezi itakuwa poa sana. Mfungulie mkeo genge hapo nje litasaidia vingine. USIOGOPE. USIKOPE KULIPA ADA. Huu ni mfano unaweza jipanga uwezavyo.kama huna njia nyingne za kujipatia pesa hata ujifunge mkanda hutakaa hujenge had watoto wamalize shule
View attachment 3239070
Sitaki ufe kwa dipresheni uote na upara na ni mwanamke 😂Kwahiyo nihamie kwenye basi?
Pamoja na kulazimisha ufaulu. Ili shule ifanye vizuri wapate wanafunzi wengi zaidi. Yaani wanafunzi kwao sio wanafunzi kwa ajili ya kuwaelimisha bali ni wateja kwa ajili ya kujineemesha
mweee! siku mie nikijapata kipato cha 800k mbona mbusus zitakoma
Mimi anasoma ada 2.1M na mwingine 1.2M. Sio kila mtu amepanga nyumba, wengine ni wenye nyumba, tunachukua kodi, na mshahara no kama huokama huna njia nyingne za kujipatia pesa hata ujifunge mkanda hutakaa hujenge had watoto wamalize shule
View attachment 3239070
Mimi anasoma ada 2.1M na mwingine 1.2M. Sio kila mtu amepanga nyumba, wengine ni wenye nyumba, tunachukua kodi, na mshahara no kama huo
kama huna njia nyingne za kujipatia pesa hata ujifunge mkanda hutakaa hujenge had watoto wamalize shule
View attachment 3239070