Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Wewe hujui mambo ya mishahara naona.hapa hap Bongo kuna ma CEOs wengi sana wanalipwa hela mara mbili ya hiyo.unachofanya hapa ni kumtafutia matatizo ya machawa tuu.Yaani wale wasiojua mambo ya mishara watakuletea lundo la shida
 
1. Una uhakika Waziri mkuu wa India analipwa 14M /mwezi?
Mbona pesa ndogo sana?
2. Ndungulile kuliowa 30m/mwezi ni pesa ndogo sana pia ukilinganisha na ukubwa na unyeti wa taasisi


Hiyo 30m/hata hapa nchini wapo watu wanavuta.

Je mbunge anavuta kwa mwezi?
Watu kupata hio 30m kwa mwezi hapa TZ haimanishi kuwa hio hela ni ndogo. Ukitaka kujua hio hela sio ndogo jiulize ni watu gani wanapata hio hela kama mshahara hapa Tz. Kama CEO wa kampuni inayoingiza mabilioni kwa mwaka analipwa 30m au zaidi ina maana hio hela sio ndogo.
Nashindwa kushangaa mtu ambae hapati hio 30m kwa mwaka mzima nae unamkuta hapa anasema hio hela ni ndogo.
 
Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Kuna watanzania wakuu wa makampuni ya kigeni ya wawekezaji na walioko vitengo muhimu yaliyoko nchini mshahahara yao inaanzia milioni 150 kwa mwezi

Hiyo hela ya Ndugulile kwa post kama hiyo ndogo sana
 
Mbona pesa ya kawaida sana. Ila kwasababu ya umaskini inaonekana nyingi.
Ni milioni 30 kwa mwezi, pesa ambayo ukifika mgodini Bulyanhulu watu wengi wanalipwa hiyo pesa na wengine zaidi
 
Hata senior engineer tu wa Ulaya anapata hizo pesa. Hata senior doctors wa Ulaya wanapata hizo pesa.

Hizo ni Pesa za mchezaji wa mpira wa ligi kuu ya Uingereza kwa wiki moja..

Hizo ni pesa mchumi wa kawaida kabisa kwenye mabenki ya Ulaya.

Kwa kifupi hizo sio pesa za kutisha. Watanzania wengi tu kwenye Kazi kubwa za engineering na u daktari walioko huko Majuu wanapata
 
Kwenye uwaziri wa afya anapata hela nyingi kuliko hiyo kwa mwaka.

Waziri wa afya ana fursa nyingi sana za kupiga hela
Watanzania na akili ya uwizi uwizi tu. Eti nafasi ya kupiga pesa. Inakuwa waziri badała ya kufanya Kazi uache legacy Fulani hapa duniani muda wa kupiga pesa mnautoa wapi? Na hizo pesa mtaenda kufanyia nini?

Hiyo yote ni mishahara mikubwa. Kilichobaki wafanye Kazi.
 
Mbona pesa ya kawaida sana. Ila kwasababu ya umaskini inaonekana nyingi.
Ni milioni 30 kwa mwezi, pesa ambayo ukifika mgodini Bulyanhulu watu wengi wanalipwa hiyo pesa na wengine zaidi
Tatizo wa Tanzania kutotoka nje kusaka kazi wanaona nyingi hiyo pesa ya Ndugulile ukienda hapo Kenya tu

Co-operative Bank of Kenya chief executive Gideon Muriuki earned Sh455. 5 million kenya shillings last year, cementing his position as corporate Kenya's t a daily average earning of Sh1. 25 million Kenya shillings

Huyo mshahara wake ukipiga hesabu kwa pesa ya Tanzania huyo mkuu wa benki ya ushirika ya Kenya kwa mwezi analipwa shilingi milioni 750 kwa mwezi hiyo hela Ndugulile kwake ndogo mno
 
Ni ajabu Kuna mtu nimeona hapo juu amekomenti eti mshahara wa milioni 360 atakaolipwa Ndugulile Kwa Mwaka ni mdogo wakati huo huo yeye akichanganya kipato chake chote Kwa Mwaka hakifiki hata milioni 12 yaani haingizi zaidi ya milioni 1 Kwa Mwezi 🙌

Yaani tumezoea roho mbaya tu 🙌
 
Tatizo wa Tanzania kutotoka nje kusaks kazi wanaona nyingi hapo Kenya tu

Co-operative Bank of Kenya chief executive Gideon Muriuki earned Sh455. 5 million kenya shillings last year, cementing his position as corporate Kenya's t a daily average earning of Sh1. 25 million Kenya shillings

Huyo mshahara wake ukipiga hesabu kwa pesa ya Tanzania huyo mkuu wa benki ya ushirika ya Kenya kwa mwezi analipwa shilingi milioni 750 kwa mwezi hiyo hela Ndugulile kwake ndogo mno
Ccm imewafanya Watanzania wengi wajinga sana. Hawayajui kabisa ya duniani
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Naingiza mill 51,120,000/=
 
Ni ajabu Kuna mtu nimeona hapo juu amekomenti eti mshahara wa milioni 360 atakaolipwa Ndugulile Kwa Mwaka ni mdogo wakati huo huo yeye akichanganya kipato chake chote Kwa Mwaka hakifiki hata milioni 12 yaani haingizi zaidi ya milioni 1 Kwa Mwezi 🙌

Yaani tumezoea roho mbaya tu 🙌
Masikini anayepata elfu moja kwa wiki aweza ona yeye tajiri kuliko maskini anayepata mia tano kwa wiki akampuuza mpata mia tano kuwa lofa kumbe wote maskini na malofa hakuna tajiri hapo wanapishana tu kiwango cha umaskini ndio maana wazungu wakiangalia Tanzania wanaiita nchi maskini na akina Ndugulile wanahesabiwa humo.humo
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Mbona hizo ndogo sana, kuna wengine wanalipwa 1.7 Million GBP kwa cheo kama chake kwa mwaka na wako kimya tu humu...Hongera kwake lakini kwa kuwakilisha nchi na wananchi vyema.

1725437995461.png
 
Back
Top Bottom