Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
kama itakuwa inalipwa kila tarehe 25 na 26 ya kila mwezi, hakuna shida maana siku 30 ni zile zile kama mshahara ungetoka tarehe 22&23Ila walimu siyo kazi ya kufanya kabisa Bora uwe unabaeti tu, Yani salary mpaka trh 25 au 26
Asiyejua ni typing error.Katikati ya nukta na mwalimu kuna nukta.Kapime macho.asiejua=asiyejua
nukta.Mwalimu=nukta. Mwalimu
Mleta uzi uliyemkosoa, bila shaka alikuwa Mwalimu awako!
Asiyejua ni typing error.Katikati ya nukta na mwalimu kuna nukta.Kapime macho.
Hatuandiki bila shaka= bila ya shaka.
Ni mwalimu wako wewe ndio sababu umemtetea.
Haha yani kwa waajiriwa mwisho wa mwezi ni kuanzia tarehe 21 hadi 31, katikati ya mwezi ni kuanzia tarehe 11 hadi 20, mwanzo wa mwezi ni kuanzia tarehe 01 hadi 10Leo tarehe 22, mwisho wa mwezi si 31st
Asiyejua ni typing error.Katikati ya nukta na mwalimu kuna nukta.Kapime macho.
Hatuandiki bila shaka= bila ya shaka.
Ni mwalimu wako wewe ndio sababu umemtetea.
Kawaida ukiona mtu anakimbilia matusi basi jua ana matatizo ya akili.Kwa hiyo na hiki ulichoandika bila kuweka hizo nafasi ni typing error? Mbona umeshindwa kurekebisha sasa?
Halafu ni wapi umeona nimemtetea mtu? Ukilaza wako unakusumbua, mtu mwenyewe unajiita "Tui". Ungemalizia Tui la kabisa.
Umeona tusi wapi?Kawaida ukiona mtu anakimbilia matusi basi jua ana matatizo ya akili.
Tui ni jina kama mengine.
"Mbona umeshindwa kurekebisha sasa" sio swali kamilifu.Nitarekebisha vipi sasa?
Tatizo wewe zumbukuku na nimefanya kosa kukujibu.Umeona tusi wapi?
Sema umetukanwa wapi na nani!!
Au kuambiwa "ukilaza" ndio tusi?
Kiufupi wewe ni kilaza tu!!
Huyu atakuwa siyo mwalimu, ni jitu la hovyo tu limeamua kuandika uzwazwa hapa jukwaani.1. Kuwa na subira jamaa yangu, tarehe 25 imefika,
2. Tuache kutia aibu, tunaiabisha serikali so far utaratibu wa kuuliza unaujua, umemfuata HRO wako ameshindwa kukujibu, DED wako ameshindwa kukujibu? Why exposing issues ambazo zinawekeana kujibiwa na wahusika instantly?
3. Sio sawa, Utumishi wa Umma haupo hivyo!!!
hahaha dah noma sanaMimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Na hiyo ndio kawaida ya vilaza kufanya makosa kila wakati!Tatizo wewe zumbukuku na nimefanya kosa kukujibu.
Mwisho wa mwezi tayari ?Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Mshahara wa dhambi ni mauti.Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa