Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Asiyejua ni typing error.Katikati ya nukta na mwalimu kuna nukta.Kapime macho.
Hatuandiki bila shaka= bila ya shaka.
Ni mwalimu wako wewe ndio sababu umemtetea.

Kwa hiyo na hiki ulichoandika bila kuweka hizo nafasi ni typing error? Mbona umeshindwa kurekebisha sasa?
Halafu ni wapi umeona nimemtetea mtu? Ukilaza wako unakusumbua, mtu mwenyewe unajiita "Tui". Ungemalizia Tui la kabisa.
 
Kwa hiyo na hiki ulichoandika bila kuweka hizo nafasi ni typing error? Mbona umeshindwa kurekebisha sasa?
Halafu ni wapi umeona nimemtetea mtu? Ukilaza wako unakusumbua, mtu mwenyewe unajiita "Tui". Ungemalizia Tui la kabisa.
Kawaida ukiona mtu anakimbilia matusi basi jua ana matatizo ya akili.
Tui ni jina kama mengine.
"Mbona umeshindwa kurekebisha sasa" sio swali kamilifu.Nitarekebisha vipi sasa?
 
Kawaida ukiona mtu anakimbilia matusi basi jua ana matatizo ya akili.
Tui ni jina kama mengine.
"Mbona umeshindwa kurekebisha sasa" sio swali kamilifu.Nitarekebisha vipi sasa?
Umeona tusi wapi?
Sema umetukanwa wapi na nani!!
Au kuambiwa "ukilaza" ndio tusi?
Kiufupi wewe ni kilaza tu!!
 
1. Kuwa na subira jamaa yangu, tarehe 25 imefika,
2. Tuache kutia aibu, tunaiabisha serikali so far utaratibu wa kuuliza unaujua, umemfuata HRO wako ameshindwa kukujibu, DED wako ameshindwa kukujibu? Why exposing issues ambazo zinawekeana kujibiwa na wahusika instantly?
3. Sio sawa, Utumishi wa Umma haupo hivyo!!!
Huyu atakuwa siyo mwalimu, ni jitu la hovyo tu limeamua kuandika uzwazwa hapa jukwaani.
 
Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?

Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?

Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
hahaha dah noma sana
 
Kwani si inatakiwa ijumaa ya mwisho wa mwezi mkuu???
 
Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?

Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?

Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Mwisho wa mwezi tayari ?
 
Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?

Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?

Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Back
Top Bottom