The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Tena wengi wao amewateka kiakili, mara awaletee story sijui eti alikua anafanya kazi Mochwari! Anakua anatafuta zile trick za kuwabrainwash wafuasi wake! basi wenyewe wanamuona kama Nabii vile! Hahahaaaaa!Mshana ni jamaa mmoja mwongo mwongo sana ila mwenye kundi kubwa la wajinga wanaomwamini. Ni kama CCM inavyotumia mtaji wa uwepo wa wajinga wengi.ndivyo na mshana naye anafaidika nao.