Dah hapo sawa maana nshasingiziwa sana [emoji23]nimeifuta na post yenyeweHuwezi utani mzeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umekachi feeling kwa mimi kumtania Jemima Mrembo?????..Be easy homie.
Ana mivuto mingapi[emoji848][emoji848][emoji848]
Tumeelewana[emoji16][emoji3]Jemima kazunguka sana ila najua ushamuelewa [emoji12]
Hahahha[emoji23]1900
Tunataniana,tunapongezana,tunabishana na tunakosoana.Then maisha yanaendelea.Wewe mtani wangu bhana lazima nikutanieππ€£π€£π€£Be easyπππDah hapo sawa maana nshasingiziwa sana [emoji23]nimeifuta na post yenyewe
Hahahha[emoji23]
Ushafika mbio mbio tajiri wangu,ππππββοΈπββοΈπββοΈπ
Mpatieni hata million tano tuone thaman yake, sio maneno matupu.Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
Chap sana mwendo wa chopper ππ nilikuwa tu hapo around πββοΈπββοΈUshafika mbio mbio tajiri wangu,ππ
twenzetu tukajiandae kuishangilia Taifa Starz huko..!!
Tuliokosa huo mvuto wapi tuchangie hoja..[emoji23][emoji23][emoji23]
πππChap sana mwendo wa chopper ππ nilikuwa tu hapo around πββοΈπββοΈ
19:45 ππ nitakuwa sijalala kweli maana nishaanza kusinzia hapa.. kimvua kinanidanganya danganya
Uhakika hapo ππ kimeshaiva tayari, karibuπππ
Kheeeh' utakuwa umekula kweli..??
Nendeni kwa zumaridiTuliokosa huo mvuto wapi tuchangie hoja..πππ
Mdogo wangu ni Iftar..???Uhakika hapo ππ kimeshaiva tayari, karibu
Thanks again.. My apology for misconceptionUtani ni muhimu mtani ili maisjs yaendelee[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunataniana,tunapongezana,tunabishana na tunakosoana.Then maisha yanaendelea.Wewe mtani wangu bhana lazima nikutanie[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Be easy[emoji102][emoji102][emoji102]
Wazungu wanasema gabagge in garbage outHasa tufanyeje mtu unaona kabisa kauliza kisharishari
Wewe umekutana naye pia?@Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Iftar which? ππ Normal meal dadae.. nikiamuaga kuwa βsiriasiβ hapo π€Mdogo wangu ni Iftar..???
Wewe ni wife material na tumekaa kimya hapa kumbe..!!
Mungu ni mwemaπ€£π€£π€£π€£πππThanks again.. My apology for misconception