Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Utani ni muhimu mtani ili maisjs yaendeleeπŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Dah hapo sawa maana nshasingiziwa sana [emoji23]nimeifuta na post yenyewe
Tunataniana,tunapongezana,tunabishana na tunakosoana.Then maisha yanaendelea.Wewe mtani wangu bhana lazima nikutanieπŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£Be easyπŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€
 
Mpatieni hata million tano tuone thaman yake, sio maneno matupu.

Vilevile msije mkamuambukiza ukimwi na mapenzi yenu yasio tangiable
 
Ushafika mbio mbio tajiri wangu,πŸ˜‚πŸ˜‚

twenzetu tukajiandae kuishangilia Taifa Starz huko..!!
Chap sana mwendo wa chopper πŸ˜‚πŸ˜‚ nilikuwa tu hapo around πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ

19:45 πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakuwa sijalala kweli maana nishaanza kusinzia hapa.. kimvua kinanidanganya danganya
 
Chap sana mwendo wa chopper πŸ˜‚πŸ˜‚ nilikuwa tu hapo around πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ

19:45 πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakuwa sijalala kweli maana nishaanza kusinzia hapa.. kimvua kinanidanganya danganya
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kheeeh' utakuwa umekula kweli..??
 
Thanks again.. My apology for misconception
 
Iftar which? πŸ˜‚πŸ˜‚ Normal meal dadae.. nikiamuaga kuwa β€˜siriasi’ hapo πŸ€—
πŸ₯°πŸ₯°
Basi bhaana, kuna mtu kabarikiwa huko aliko..!
Darlin ile sare tumalizie tu kuishona mdogo wangu, mambo yashawiva huku..!!🀭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…