Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Wewe siye Chamdeko wewe?
 
Wakati takwimu mbalimbali zikionyesha mimba shuleni, vyuoni zikipungua, Mwananchi limebaini kuzuka kwa mbinu mpya haramu za utoaji mimba ambapo dawa zilizotengenezwa maalumu kutibu magonjwa ya aina fulani, ndizo zinazotumika kinyume kufanikisha vitendo hivyo.
 
Nimecheka aise….eti cheusi mangala [emoji16][emoji16][emoji16]husahau mkuu
Wewe Chakorii, Christine, Musundi, Antonia, Kalpana, Shunie, Bantu Lady, Hannah, Shadeeya, Zesh, Blessed Tanzanian, Khantwe, Mzigua90, Nakadori, Jessica, Manager wa makampuni, Unforgettable, Ulweso, Mamndenyi, Johannah, Toyeye, Saint heaven huwa hamna makuu kabisa na Mtu humu JF [emoji119][emoji4]

Rebecca, Espy, Sky Eclat wamepotelea wapi siku hizi Wakuu?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwan hiyo ID huwa ni mtu au taasisi?
Mana naonaga amejaa kote.
Ni kama extrovert
 
@Mshana Jr , umeambiwa ni mjuzi wa mapenzi huku huyu dada ulimfanyia nn kaka!??!
Tupe code*** hizo wenzio kudharirika huku kaka,

Nasie twataka kusifiwa kaka, sio kwa sifa hizi ulizomwagiwa hapa na huyu mrembo kutakuwa na kitu tuuu
 
@Mshana Jr , umeambiwa ni mjuzi wa mapenzi huku huyu dada ulimfanyia nn kaka!??!
Tupe code*** hizo wenzio kudharirika huku kaka,

Nasie twataka kusifiwa kaka, sio kwa sifa hizi ulizomwagiwa hapa na huyu mrembo kutakuwa na kitu tuuu
Kazungumzia mapenzi na sio ngono jamani
 
Ovulation
 

Ulianza "Hali ya hewa imekupa mazaga kwenye kibena"

Ukaja "Mshana Jr na misifa kibao"

Sijui unaelekea wapi...

Na haka kamvua mmmh

HAYA BWANA.

#YNWA
 
nasemaje, nasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…