Huwezi kuachana nae huyo.....kwanza kwa nini umelipa ada? Kama ameamua kuondoka na watoto means anaweza kuwahudumia.....inaonekana anajua udhaifu wako ni yeye na watoto ndo maana anakupelekesha, alivyoondoka ungekausha usingeita hata kikao.....ulivyoanza kuweka vikao ndo akaona anakumudu.Hakuna namna, japo nimeshaamua kuachana nae tu for good, aende anapotaka
Ahahahah mwenyekiti Lissu anisamehe kwa uzembe huu nilioufanya.Mzee umezidi unyonge sanaaa!
Yesu huyo huyo alianzisha mtiti alipokuta hekalu limegeuzwa soko!
Daudi alimwambia mwanae Suleiman Kipindi anakaribia kufa "Jionyeshe kama mwanaume!
1 Wafalme 2:1-2
[1]Basi siku ya kufa kwake Daudi ikakaribia, akamwusia Sulemani mwanawe, akasema,
Now the days of David drew nigh that he should die; and he charged Solomon his son, saying,
[2]Mimi naenda njia ya ulimwengu wote; basi uwe hodari, ujionyeshe kuwa mwanamume;
I go the way of all the earth: be thou strong therefore, and shew thyself a man;
Ni either umerogwa hujijui au sijui Nini ! Thus why huyo wife anakuwa na guts za kukuchezea tu kama Mpira!
Nadhani hata malaika mbinguni wanakushangaa sana!
Nimemsomea huu mkasa Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU!
Amelia machozi
Wacha jamaa yako afanyie kazi hilo dubwasha kama wewe umeshindwa na ulokole wako aisee!!Kwa jinsi uzi wake ulivyo, huyu mwamba yupo tayari hata kuuawa ilimradi mkewe awe na furaha tu.
Hili ni kwel, nakubaliana na wewe, watoto wangu ndio udhaifu wangu mkubwaHuwezi kuachana nae huyo.....kwanza kwa nini umelipa ada? Kama ameamua kuondoka na watoto means anaweza kuwahudumia.....inaonekana anajua udhaifu wako ni yeye na watoto ndo maana anakupelekesha, alivyoondoka ungekausha usingeita hata kikao.....ulivyoanza kuweka vikao ndo akaona anakumudu.
Hati na kadi.Ile narudi home, nakuta ,kabeba watoto wangu, kabeba hati ya nyumba na eneo, kabeba card ya gari na vyeti vyake vyooooote vya taaluma na ajira (mtumishi wa serikali yeye) akasepa.
Nikaja gundua kuwa ni kaka yake alimfuata.
Pale juu umeficha white sasa mimi sijui nakusaidiaje hujaeleza sababu za ugomvi wenu ilikua ni nini alitombwa na kufirwanje?Ungechukua uamuzi ganu juu ya msaada kama huu ninaopewa na mdau wangu?
Ni kweliUshauri makini sana aufuate, watoto isiwe sababu ya yeye kuendelea kupalilia jambo ambalo linahatarisha maisha yake.
SItisha huduma kwa sasa sitisha huduma sitisha mawasiliano watakumaliza hao.Hili ni kwel, nakubaliana na wewe, watoto wangu ndio udhaifu wangu mkubwa
Shukrani doktaPole sana
Mkuu kwa wakristo ,talaka ya namna hii inawezekana?? Nifundishe zaidiMkuu
Ulikosea hukumuwahi hicho alichokitaka!
Mpe talaka ya maandishi yaani mpigie simu mwambie njoo uchukue talaka andika ya maandishi hasta kama sio ya mahakamani!Tena ifanyie lamination kabisaaa!
Kuachana ni roho mkuu Wala sio makaratasi ukishaandika ukampa utakua ndio ushahidi wake wa maisha!!
Na Mali mwambie anachotaka achukue!!
Ile safari aliyotaka afike na wewe ameshafika mwache aende!!
Akina nani?Wanakuja kwa kasi ya mwanga
Yaani nimesoma huo mkasa wako!Ahahahah mwenyekiti Lissu anisamehe kwa uzembe huu nilioufanya.
Nilijaribu kuipa lobe nafasi ila nimegumdua, am playing games
Leo tumeaga maiti iliyokatishwa uhai na mwanamke kwa mbinu km hizi, the mission hapo ni kuhakikisha jamaa anakufa kabisa, sijauliza kabila la mwanamke ni lipi?NEVER ADMIT GUILT.
Nimeamua kufanya hili mkuuSItisha huduma kwa sasa sitisha huduma sitisha mawasiliano watakumaliza hao.
Hata ufanye vipi hapo hao watoto watalishwa maneno kwamba wewe ni mbaya kwao na watatambulishwa kwa baba mwengine.
Yeye si kamwaga mboga?? Basi na wewe katupe ugali baharini kabisa.
Hallelujah!!!
Pole mkuu vita ni vitaNi kweli