Hahahauahaaaa!Tuachane na ubishi turudi kwenye uhalisia na turudi 2005 ,ushawishi ule wa JK ulitengenezwa na Lowassa ? Najua hii ni stori ya kijiweni ambayo mpaka kesho inasemwa hivyo
Dah, mwamba una maswali magumu sana!Ukimfanyia dhulma aliyewahi kuwafanya dhulma wengine tena inawezekana mlikuwa wote Kuna shida gani?
Tunawaita Boyz 2 Men walikuwa pamoja kwenye harakati zao, dhulma ngapi wamewafanyia watanzania kwenye harakati zao? au hapa yupo JK peke yake, EL na RA hawapo.
Zirudie akili zako na hapa nitakuelekeza kwa mifano maana Biblia inatufundisha kutumia mifano.Unatumika vibaya wewe, kama jk alimfanya Lowassa waziri mkuu halafu familia ishukru watu wengine ambao hawakumpa hicho cheo, kwako wewe unaona kawaida.?
Jifunzeni kuishi na watu vizuri, madaraka yana mwisho. Ni fedhea na ni aibu kubwa. Kwa Magufuli ilikuwa hivyohivyo akaishia kujitetea, leo hivyohivyo. Aibuu
Ukaskazini nao umempaisha LowasaMtu aliyeshika nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa muda mfupi lakini angalia muitikio na namna msiba wake ulivyokuwa ndipo utakapojua JK aliona mbali kwamba marehemu alikuwa na nafasi kubwa ya kumfunika kwa kila kitu ndipo akafanya ya kufanya.
Pumzika kwa amani Lowassa, Mungu amekuinua katikati ya watesi wako hata katika msiba wako.
Fuatilia kwanini Makamba alifukuzwa Galanos akiwa O-Level halafu urudi hapaUna mana Gani? Kwamba akina makamba hawana elimu ya kutisha kumpita lowasa? Kwanza lowasa kasoma fine arts.
Mi mwenyewe nimeshafukuzwa shule kibao ila Nina uwezo mkubwaFuatilia kwanini Makamba alifukuzwa Galanos akiwa O-Level halafu urudi hapa
Watoto wengi wa 2000 wanakua wanakutana na stori ya Lowassa kumuweka Kikwete madarakani halafu Sasa walivyo wepesi wa kubeba Kila stori wanaamini ni kweli.Hahahauahaaaa!
Yaani ikifika hapo mi ndo nawapuuuza kabisa hawa haters wa jk, kiukweli kuna ratizo mahali katika bongo za watz......?.'elimu, elimu, elimu' kama alivyowahi kusema mwendazake!
Una ushahidi au ni stori za vijiwe vya kahawaMkuu, hivi umewahi kumsaliti rafiki yako, rafiki aliyejitoa maisha yake kukusaidia kwa kila namna kutimiza ndoto yako? Ni mambo ya kawaida sana kibinaadamu kusalitiana ila maumivu yake ni pale rafiki yako anapotangulia kufa na hamkuwa vizuri sana au hamkuwahi kuombana msamaha.
Kibinadamu, hata kwa kujikaza vipi, Jk hawezi kuwa na amani tena. Na inaonekana kama wale marafiki zake wote wamemtema, ulimsikia Rostam akimzungumzia Lowassa na sababu ya kuondoka kwake CCM?
Hakumpa nafasi ya kujieleza mbele ya wajimbe ambao ni wapiga kura kimsingi hakutendewa haki angewaacha wajumbe waamueKwa hiyo mlotaka ampe urais kisa ni rafiki yake? Thank u kikwete uliangalia maslahi mapana ya nchi kuliko kujali uswahiba nchi itumbukie shimoni japo jpm ndo alikuwa rais mbovu sana kuwahi kutokea Dunia hii
Kabisa ina maana baada ya Lowasa angefata Bashe kuwa Rais wa Tz[emoji23]Kikwete hakuwa pale kwa ajiri ya kugawa uraisi
Uwezo wenyewe uko wapi? Kama una mu admire Makamba Jr aliyetuangusha kwenye wizara ya nishati wewe una akili ya mende tu. Mende anakula kwenye kabati halafu anaishi kwenye karoo la maji machafuMi mwenyewe nimeshafukuzwa shule kibao ila Nina uwezo mkubwa
Wanafiki haoAtajwe au asitajwe haina maana kwanza hata angepanga asiende kabisa hakuna kitu mngefanya...Kila kitu mnaleta uchambuzi sio kila sehemu ni siasa .
Akifa Kikwete mtaanza kuwasema wengine .
Laana za kuzibua mitaro ndo sasa zinamuandama uzeeni.Huyo Mzee anaandamwa na laana kibao, hawezi kuwa na amani ya moyo.
Angetajwa ungefaidika nini?ndio maana hata familia pale haijamshukuru wala kumtaja, pamoja na kwamba alishawahi kuwa waziri mkuu kwenye utawala wake na wametoka naye mbali tangu ujanani. you know hwy?
Ndo nashangaa. Asingepona hiyo tezi asingekuwa hai hadi sasa hivi.JK hakupona tezi dume wakati ule?
Wenye akili ndogo wanadhani uadui wa lowasa na kikwete ni personal,yaani wao binafsi walikosana wakawa maadui!!Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.
Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.
Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.
Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.
Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
We ulitajwa?Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.
Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.
Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.
Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.
Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.