Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

Kabeji

Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
13
Reaction score
87
Habari wakuu,

Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.

Nipo hapa hapa Dar es Salaam

NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.

Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.

Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls

Asante.
 
Habari wakuu,

Mimi ni msichana wa miaka 24 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting and finance). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu ila sasa kama mnavyojua ndugu zangu ujasiriamali ni mgumu ukizingatia hela ya ujasiriamali nilikuwa natoa katika hela ya kujikimu chuoni (boom).

Kwa sasa biashara hainiendei vizuri hivyo nimekuja kwenu wanajukwaa naomba mnishike mkono kupatiwa kazi yoyote iliyo ya halali ambayo haitanitweza utu wangu.

Nipo hapa hapa Dar es salaam na napatikana kwa namba hii 0713776534

NB: nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.

Pia kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa deprression kubwa.

Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki PM au anipigie kwa namba nilizoweka hapo juu.

Asante
Kila la kheri, ila ushauri futa hiyo namba.
 
Back
Top Bottom