Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado mapema sana.Habari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 24 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting and finance). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu ila sasa kama mnavyojua ndugu zangu ujasiriamali ni mgumu ukizingatia hela ya ujasiriamali nilikuwa natoa katika hela ya kujikimu chuoni (boom).
Kwa sasa biashara hainiendei vizuri hivyo nimekuja kwenu wanajukwaa naomba mnishike mkono kupatiwa kazi yoyote iliyo ya halali ambayo haitanitweza utu wangu.
Nipo hapa hapa Dar es salaam na napatikana kwa namba hii 0713776534
NB: nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa deprression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki PM au anipigie kwa namba nilizoweka hapo juu.
Asante
Natamani nikuajiri maana si mda nafungua klabu Cha pombe hapa kijijini ili utumie uhasibu wako kutunzwa hela zangu ila shida ni Heslb nasikia wanawatafuta nyie mliokula hela ya serikali na hamna Cha kulipa ,Sasa hauwezi kunifirisi kwa kuwalipa serikali ?Habari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 24 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting and finance). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu ila sasa kama mnavyojua ndugu zangu ujasiriamali ni mgumu ukizingatia hela ya ujasiriamali nilikuwa natoa katika hela ya kujikimu chuoni (boom).
Kwa sasa biashara hainiendei vizuri hivyo nimekuja kwenu wanajukwaa naomba mnishike mkono kupatiwa kazi yoyote iliyo ya halali ambayo haitanitweza utu wangu.
Nipo hapa hapa Dar es salaam na napatikana kwa namba hii 0713776534
NB: nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa deprression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki PM au anipigie kwa namba nilizoweka hapo juu.
Asante
Ebu nitafute tufanye biashara ya kyupi mtaji wangu faida tunagawana 60/40. Gonga pmHabari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 24 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting and finance). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu ila sasa kama mnavyojua ndugu zangu ujasiriamali ni mgumu ukizingatia hela ya ujasiriamali nilikuwa natoa katika hela ya kujikimu chuoni (boom).
Kwa sasa biashara hainiendei vizuri hivyo nimekuja kwenu wanajukwaa naomba mnishike mkono kupatiwa kazi yoyote iliyo ya halali ambayo haitanitweza utu wangu.
Nipo hapa hapa Dar es salaam na napatikana kwa namba hii 0713776534
NB: nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa deprression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki PM au anipigie kwa namba nilizoweka hapo juu.
Asante
Sijasema udange nimesema upate kijana muaminifu akuweke ndani hilo la kwanza la Pili hujajibu kuna lijamaa linakufaidi muda huu linawakabia wadau wengine kuchukua nafasi au Jimbo lipo wazi?ha ha daahh hapana mkuu sijaja hapa kudanga haya ni maisha tu nimekuja kuomba msaada wa ajira kama una kaz plz nisaidie..
Linazidi idadi ya Ng'ombe atakao hitaji Baba mkwe? Km linazidi basi hapo ni makubariano Baba mkwe kwamba hilo deni ninalolipa ndio Mahari yenyewe akisema sawa nabeba mwali nawalipa Loan Board mkopo wao ndio km MahariUpo tayari kulipa deni la HELBS?
asante kwa ushauri nimeamua kuifuta maana naona wengi wanakuja na mada za mapenz hawapo kwa ajili ya kunisaidiaHiyo namba ni vyema ungekua unaitoa PM.
hii ishu private sana na haiusiani na shida yangu.asante kwa comment yakoSijasema udange nimesema upate kijana muaminifu akuweke ndani hilo la kwanza la Pili hujajibu kuna lijamaa linakufaidi muda huu linawakabia wadau wengine kuchukua nafasi au Jimbo lipo wazi?
Sio private inabidi uweke wazi kidogo status yako si unajua CV au Resume inavyokua pale kwenye Marital status ndio pa muhimu zaidi Single or Married?hii ishu private sana na haiusiani na shida yangu.asante kwa comment yako
Ndio hivyo, sote tuko mtaani tunahangaika kutafuta kazi ila kwako msichana unatakiwa kuwa makini kidogo.asante kwa ushauri nimeamua kuifuta maana naona wengi wanakuja na mada za mapenz hawapo kwa ajili ya kunisaidia
mayonaizi kazi hii hapa ushindwe Wewe tuJiajiri
Ndio tunakusaidia Ila kuna boya anakufaidi na hakuna anachokusaidia sasa huo si undezi anapaki bus tu si umpige chini km hatoi pandeasante kwa ushauri nimeamua kuifuta maana naona wengi wanakuja na mada za mapenz hawapo kwa ajili ya kunisaidia
Namba tushaisevu tutakutafuta kwa wakati wetu kwa hio punguza uoga unapojitoa usijitoe nusu nusuasante kwa ushauri nimeamua kuifuta maana naona wengi wanakuja na mada za mapenz hawapo kwa ajili ya kunisaidia
Tuliza wenge utapata mtu atakusaidia hii jf ina watumiaji wengi sana, sasa wewe unataka leo leo au ?? just cool calm downasante kwa ushauri nimeamua kuifuta maana naona wengi wanakuja na mada za mapenz hawapo kwa ajili ya kunisaidia
Qbbbke daaah aiseee kazi kazini japo kazi ni kazi 🏃 🏃Una speed?
Kuna ramani hapa Mabibo sokoni ya kukimbia na mkungu wa ndizi kikubwa usidakwe