Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

Habari wakuu, Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting ).

Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu Nipo hapa hapa Dar es salaam.

0713776534 my WhatsApp number
 
Hello naitwa jenipha nimehitimu stashahada ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es salaam piaa ni mjasiriamali natafuta kazi🙏🙏Watanzaniaa 0713776534 my WhatsApp number

Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

Habari wakuu, Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting ).

Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu Nipo hapa hapa Dar es salaam.

0713776534 my WhatsApp number
Stashahada ya Uhasibu ndio hiyo bachelor in Accounting?😥😥 R.I.P UDBS
 
Back
Top Bottom