Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga hoja mkono.Helo Jennifer, stick na kitu kimoja afu bobeamo humo.
Yaani kama muwasibu bobea kwenye uwasibu apo utawin izli.
Waajiri wengi hawapendi watu wa mambo mengi.
Nakutakia kila la kheri kwenye upambanaji.Habari Tanzania
Mimi ni mhitimu wa Bachelor degreee in Accounting. Nimemaliza chuoo kikuu cha Dar es salaam
Natafuta kazi pia ni content creator kwaa Mawasiliano zaidi jeniphalameck09@gmail.com Calls and WhatsApp 0713776534
Tuwasiliane kwenye content creationHabari Tanzania
Mimi ni mhitimu wa Bachelor degreee in Accounting. Nimemaliza chuoo kikuu cha Dar es salaam
Natafuta kazi pia ni content creator kwaa Mawasiliano zaidi jeniphalameck09@gmail.com Calls and WhatsApp 0713776534
Hello naitwa jenipha nimehitimu stashahada ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es salaam piaa ni mjasiriamali natafuta kazi🙏🙏Watanzaniaa 0713776534 my WhatsApp number
Stashahada ya Uhasibu ndio hiyo bachelor in Accounting?😥😥 R.I.P UDBSMsichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie
Habari wakuu, Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting ).
Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu Nipo hapa hapa Dar es salaam.
0713776534 my WhatsApp number
unataka kutaharukisha familia yako(njoo ichukue bodaboda yako wamehamia huku)Asante kwa namba
Muache mtoto tafadhaliStashahada ya Uhasibu ndio hiyo bachelor in Accounting?😥😥 R.I.P UDBS
Utamsapoti nikupe yuzanemu?Huyu hayupo sirias alisema ni content creator, aweke username za content alizounda huko mitandao ya kijamii
dunia saivi ni technologia ndo inapesa
Huu ukatili sasa😜Stashahada ya Uhasibu ndio hiyo bachelor in Accounting?😥😥 R.I.P UDBS
content zake zikiwa safi nawekezaUtamsapoti nikupe yuzanemu?
Ila usikimbilie ngonocontent zake zikiwa safi nawekeza
iyo stage nilishapitaIla usikimbilie ngono