Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katingishwa kidogo kafuta namba wakati wanaomweleza afute namba wamechukua namba na wana plan zao Binti hajui anataka nini wenge limemshika kila anapogusa anaona km kagusa Moto balada atulie tu mambo yanajiset yenyewe anakua na paparapupaTuliza wenge utapata mtu atakusaidia hii jf ina watumiaji wengi sana, sasa wewe unataka leo leo au ?? just cool calm down
Katika harakati za kupata bongelabwanaKila la kheri mwaya...
Drop your number Pm kama upo tayari kufanya kazi kwa malipo kidogo kwa siku.Habari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 24 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting and finance). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu ila sasa kama mnavyojua ndugu zangu ujasiriamali ni mgumu ukizingatia hela ya ujasiriamali nilikuwa natoa katika hela ya kujikimu chuoni (boom).
Kwa sasa biashara hainiendei vizuri hivyo nimekuja kwenu wanajukwaa naomba mnishike mkono kupatiwa kazi yoyote iliyo ya halali ambayo haitanitweza utu wangu.
Nipo hapa hapa Dar es salaam
NB: nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa deprression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki PM
Asante
Kwahiyo mimi ni kijana wa hovyo mkuu?Natoa Rai vijana wa hovyo akina mzabzab Half american na wanyantiaji wengine msijekumsumbua binti wa watu.
😂😂😂Sema tena kimeumanaaaa!Kwahiyo mimi ni kijana wa hovyo mkuu?
😂 hawajui mtaani mi ndio kijana wa kuigwa😂😂😂Sema tena kimeumanaaaa!
GT walikuwepo enzi zile za 'nondo za moto'.Ila jf 😂😂😂 hadi raha.....
Ukiingia unakutana na bango kubwa mlangoni HOME OF GREAT THINKERS kumbe na wehu wapo tena wengi tu 😹😹
naona kuna shida nikituma pm zinagoma.plz ni pm weweDrop your number Pm kama upo tayari kufanya kazi kwa malipo kidogo kwa siku
oknaona kuna shida nikituma pm zinagoma.plz ni pm wewe
GGM wametangaza nafasi za internships Finance ingia uombeHabari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 24 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting and finance). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike had hivi juzi juzi nilipohitimu ila sasa kama mnavyojua ndugu zangu ujasiriamali ni mgumu ukizingatia hela ya ujasiriamali nilikuwa natoa katika hela ya kujikimu chuoni (boom).
Kwa sasa biashara hainiendei vizuri hivyo nimekuja kwenu wanajukwaa naomba mnishike mkono kupatiwa kazi yoyote iliyo ya halali ambayo haitanitweza utu wangu.
Nipo hapa hapa Dar es salaam
NB: nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa deprression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki PM
Asante