Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie
Hello Tanzania naitwa Jenipha, nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es Salaam.

NATAFUTA kazi🙏🙏0713776534 for normal calls and WhatsApp
 
Ha ha daahh hapana mkuu sijaja hapa kudanga haya ni maisha tu nimekuja kuomba msaada wa ajira kama una kaz plz nisaidie..
Jinsia ya kike kama unatafuta maisha alafu unabana utakwama! Atleast toa kauli ya kutuvutia sisi mabaharia vinginevyo kwa kauli hii wengi umetotoa mood!
 
Hello naitwa Jenipha Nimemaliza chuo kikuu cha Dar es Salaam Degree ya uhasibu.

Natafuta kazi😭😭😭jaman nateseka.

Naombeni msaada please 🙏
 
Habari wakuu,

Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.

Nipo hapa hapa Dar es Salaam

NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.

Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.

Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls

Asante.
Una tako kubwa?
 
Acha kutia huruma kazaa......kulikuwa kuna ulazima wa kusema msichana hahahaha
Yaani Ile kupewa uuke Maisha umeshatoboa. Ke Anazaliwa na thamani Ila we as men we've to fight to forge our value. That's why with time tunakuwa na value wale walikuwa wanakukataa wanaanza kujileta kwako.

Pia mwanamke anajua kuwa jinsia ama uuke ni silaha tosha ni lazima ajitangaze Kuna mafisi hapa watamsaidia fasta kuliko me wenzake.
Na atasaidiwa kisa jinsia hili liko wazi kabisa.
Screenshot_20240831-223400.png
 
Acha kutia huruma kazaa......kulikuwa kuna ulazima wa kusema msichana hahahaha
Yaani Ile kupewa uuke Maisha umeshatoboa. Ke Anazaliwa na thamani Ila we as men we've to fight to forge our value. That's why with time tunakuwa na value wale walikuwa wanakukataa wanaanza kujileta kwako.

Pia mwanamke anajua kuwa jinsia ama uuke ni silaha tosha ni lazima ajitangaze Kuna mafisi hapa watamsaidia fasta kuliko me wenzake.
Na atasaidiwa kisa jinsia hili liko wazi kabisa.
 
Hello naitwa jenipha Nimemaliza degreee ya uhasibu NATAFUTA kazi😭😭🙏🙏naombeni mnisaidie 0713776534
 
Back
Top Bottom