Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila namba yako utasumbuliwa kweli...na huenda unapoteza mtu mwenye kazi sahihi ukapata mtu mwenye kazikazi
Umefanya haraka sana kupaniki.. mm pamoja na kuwa na mwaka wa pili huu mtaani nishakula vumbi la kutosha. Hata vyeti hVijatoka sioHabari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.
Nipo hapa hapa Dar es Salaam
NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls
Asante.
Palina A la vyuMUNGU akuona na kukusaidia my dia 🙏🏾
Jiajiri, au tafta connection ila usikubali kuliwa Tako ndo upewe connection.Habari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.
Nipo hapa hapa Dar es Salaam
NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls
Asante.
nitafute tufanye kaziHabari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.
Nipo hapa hapa Dar es Salaam
NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls
Asante.
Oya UTAPELI HUUView attachment 3125735
Wahi mapema, wahasibu nafasi 85
Hamna kazi humo nimejarb kutuma maombi lkn cha ajab siku ya pili wamejib oh tumekuchagua kwny usaili Ila unatakiw sjui ulipie usaili sjui hotel sjui Kula bla bla kibao sizizoelewek. KiUFUPI NI MATAPELI HAWAView attachment 3125687
Jaribu hapa wenda mungu akakuona
Sikuwahi kufuatilia mkuu maan nimeitoa huko mjini wasapuHamna kazi humo nimejarb kutuma maombi lkn cha ajab siku ya pili wamejib oh tumekuchagua kwny usaili Ila unatakiw sjui ulipie usaili sjui hotel sjui Kula bla bla kibao sizizoelewek. KiUFUPI NI MATAPELI HAWA