Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie
Kama umemaliza kwa sasa basi karibu sana mtaani.

Jitahidi kuomba kazi kadri ya uwezo wako japo huku nje ni kugumu sana ila usikate tamaa kwa sababu sio kila mtu lazima apitie magumu ila usiwe na matarajio makubwa.

Kubali kwamba utakutana na disappointment nyingi zaidi na mambo ya hovyo ila ni safari ya utafutaji

Good luck 👍
 
Kwa sasa nimeamini ajira rasmi hamna, kuna jamaa yangu aliacha kazi mahali akawa anatafuta sehemu nyingine, akapata kazi ya take home 800k akasema ngoja niangalie yenye maslahi zaidi. Naamini kabisa anajuta kuachia ile nafasi, it's been months toka akatae ile kazi.
 
Habari za mchna kuna nafsi za trainee zinahitaj watu

Wanahitajika trainee wa jikon 10
Wakiume 7
Wakike 3

Hotel ipo shamba kulala hukohuko na unalipwa kwa mwezi posho nzuri
Kwayoyte ambye yupo tayar interested atupigie simu kwa number zifuatazo

0716454882
0686 587 266
 
Jamaa yako hana exposure na job seeking life. Anakataa kazi xa laki 8 wakati wenzie tmh.. pale masaki wanatimuliwa kila siku kwa mishahara ya laki 5 tu na wanasaga meno kwelikweli pale
 
Habari wakuu,

Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.

Nipo hapa hapa Dar es Salaam

NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.

Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.

Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls

Asante.
Umefanya haraka sana kupaniki.. mm pamoja na kuwa na mwaka wa pili huu mtaani nishakula vumbi la kutosha. Hata vyeti hVijatoka sio
 
Habari wakuu,

Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.

Nipo hapa hapa Dar es Salaam

NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.

Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.

Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls

Asante.
Jiajiri, au tafta connection ila usikubali kuliwa Tako ndo upewe connection.
 
Habari jenifa naomba weka username ya instagram au tiktok tuweze kuona content zako ili iwe rahis kukuita kwenye interview
 
Habari wakuu,

Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.

Nipo hapa hapa Dar es Salaam

NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.

Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.

Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls

Asante.
nitafute tufanye kazi
 
Hamna kazi humo nimejarb kutuma maombi lkn cha ajab siku ya pili wamejib oh tumekuchagua kwny usaili Ila unatakiw sjui ulipie usaili sjui hotel sjui Kula bla bla kibao sizizoelewek. KiUFUPI NI MATAPELI HAWA
Sikuwahi kufuatilia mkuu maan nimeitoa huko mjini wasapu
 
Back
Top Bottom