Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Anatafuta kazi akushauri tena😂😂Nimekupigia mara 5! Simu inaita tu Kabeji! Nilitaka tu unishauri kuhusu masuala ya ujasiriamali!😩
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafuta kazi akushauri tena😂😂Nimekupigia mara 5! Simu inaita tu Kabeji! Nilitaka tu unishauri kuhusu masuala ya ujasiriamali!😩
Kabeji kama Kabeji, content creator, tupia na instagram/tiktok account ya kazi zakoHabari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.
Nipo hapa hapa Dar es Salaam
NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls
Asante.
tayaji ushajifunga.....Habari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.
Nipo hapa hapa Dar es Salaam
NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls
Asante.
Unakuwaje mjasiliamali halafu unatafuta kazi? Nini maana ya ujasiliamaliHabari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.
Nipo hapa hapa Dar es Salaam
NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls
Asante.
Kuolewa nao ni msaada ujueHa ha daahh hapana mkuu sijaja hapa kudanga haya ni maisha tu nimekuja kuomba msaada wa ajira kama una kaz plz nisaidie..
🤣🤣Huu mwandiko sio wa mtu mwenye miaka 24, na kuna watu watajaa kwenye mfumo ASAP
Wahasibu 85 🤣Sikuwahi kufuatilia mkuu maan nimeitoa huko mjini wasapu
Upo dar es salaam sehem gan? Pia umepanga au unaish nyumban?Habari wakuu,
Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu.
Nipo hapa hapa Dar es Salaam
NB: Nje ya masuala yangu ya ujasiriamali pia nina kipaji kutengeneza maudhui mitandaoni (content creator) na uanamitindo na urembo.
Pia, kama kuna mtu ana namna anaweza kuniunganisha na masuala haya ya urembo na uanamitindo nitashukuru sana kwa kweli hali ya kukaa bila kuwa na ishu ya kuingiza pesa ya ziada inanipa depression kubwa.
Yeyote atakaeguswa na ombi langu basi anicheki DM 0713776534 WhatsApp and normal calls
Asante.
Unajua kusudi na lengo lake?Ndugu jeni sio sahihi kuweka no zako mtandaoni heshimu privacy yako
Wewe ni mgeni kwako?Pole mama lakin sion kama ni vyema kuweka namba yako mitandaon
Shida zisikufanye uchangingikiwe kias hicho
YESU KRISTO ni MWAMINIFU akusaidie upate kazi