DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hata hapa JF ni sehemu sahihi pia Mimi mwenyewe nilipata hapa kaziKaja sehem isiyo sahihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hapa JF ni sehemu sahihi pia Mimi mwenyewe nilipata hapa kaziKaja sehem isiyo sahihi.
Msaidie huyu dada... na anatakiwa ajifunze jf watu wa kumsaidia wapo ila sio rahis kuwepo active humu muda wote. Nina mifano ya watu wengi wqliopata kupitia jf na Linked in. Nguvu hii angeitumia linked in asingekuwq hapa leo hiiUpo tayari kufanya mikoani?
Kazi unazo au hauna? Hujajibu mada kwani kasoma lugha huyoDuh!muhitimu wa chuo lakini uandishi unamapungufu.Inabidi serikali wachukue walimu kutoka Rwanda ili wtz wajue kuandika vizuri.
ndiyo kazi ipo.Lakini unavyoniuliza kibabe hivyo nikikuajiri utaleta ubabe ofisini.usaili umekushinda.Kazi unazo au hauna? Hujajibu mada kwani kasoma lugha huyo
Hapana boss kazini watu serious ndo wanatakiwa, sio ubabendiyo kazi ipo.Lakini unavyoniuliza kibabe hivyo nikikuajiri utaleta ubabe ofisini.usaili umekushinda.
Saidia kazi wacha storiesPole mama lakin sion kama ni vyema kuweka namba yako mitandaon
Shida zisikufanye uchangingikiwe kias hicho
YESU KRISTO ni MWAMINIFU akusaidie upate kazi
Jenifa hujapata hadi leo?Hello natafuta kazi Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam 0713776534
Hello natafuta kazi Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam 0713776534
Natamanigi kila muhitimu nimpe mbinu yangu.Kila kozi nayomaliza, huwa naanza kutoa ushauri wa bure mitandaoni juu ya kozi husika.Kama uhasibu jinsi ya kuandaa ripoti ya Faida na hasara kwa mtaji wa chini ya milioni 5 (hapo watu wengi watakufuatilia na hatimaye uta[pata cha kufanya. Crown mdia walivyotaka kuajiri walipitia mitandaoni wakaangalia kila kipengl nani ana content nyingi, updated ,wakawapigia simu na kuwapa mikataba. Best wishesHello natafuta kazi Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam 0713776534