Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie
Jamani acheni kuwa negative angekuwa anataka hayo angesema na picha yake angeweka.Ila kaweka no kwa ajili ya mawasiliano unaweza msaidia msaidie huwezi acha
 
Hello natafuta kazi Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam 0713776534


Nimekupigia Ila nikuambie tu ukweli wewe kwa Asili yako itakuchukua muda mrefu Sana kupata kibarua /Kazi labda uotee serikalini.

Ushauri

Jaribu na tone ambayo MTU akikisikiliza Kwa Mara ya kwanza ajue kuwa anaongea na muhitaji wa Kazi na MTU smart .

Unaulizwa aina gani Kazi unaweza kufanya haujui jibu unajibu ilomradi , kulikuwa kuna nafasi inamuhitaji cashier na Afisa mikopo.

Then unaulizwa kiasi cha mshahara bado hautoi majibu sahihi .


So there's something wrong in ur mind

Unashindwa kuelewa kuwa Jamiiforum kuna watu wanamiliki Kampuni zaidi ya moja

Kuna ma hr n.k

So usipobadilika na kujifunza communication skills utakwama Sana.
 
Hello natafuta kazi Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam 0713776534
Natamanigi kila muhitimu nimpe mbinu yangu.Kila kozi nayomaliza, huwa naanza kutoa ushauri wa bure mitandaoni juu ya kozi husika.Kama uhasibu jinsi ya kuandaa ripoti ya Faida na hasara kwa mtaji wa chini ya milioni 5 (hapo watu wengi watakufuatilia na hatimaye uta[pata cha kufanya. Crown mdia walivyotaka kuajiri walipitia mitandaoni wakaangalia kila kipengl nani ana content nyingi, updated ,wakawapigia simu na kuwapa mikataba. Best wishes
 
Back
Top Bottom